kwa mujibu wa tetesi zilizopo ivi sasa taasis zinazogawa uduma zisizo za kiserikali inasemekana ndipo kuna ufisadi mkubwa sana, na inasemekana wanaanza kuchunguzwa kwa kila taasisi na kutaja majina yao hasa ivi za huduma za jamii kama afya, maji na barabara kwa habari za uwakika zinafuata