Habari zenu wapendwa naombeni ushaur Nywele zangu zina Dawa ila natamani zirudi natural bila kunyoa, je kuna njia yoyote ya kuondoa Dawa kichwani naombeni mnishauri nizifanyaje maana najuta kuweka Dawa na mungu awabariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app