SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,757
Kejuu,
Wacheni woga, uchaguzi uwe huru na haki atakayeshindwa asipate sababu za kujitetea. Inapendeza sana uchaguzi ukiwa huru na mshindi na walioshindwa wakapeana mikono ya heri, lakini hizi figisu mnazoanza hazitatuacha salama. Kama mumefanya vizuri mtachaguliwa tu, sasa hizi hofu za nini tena.
Wacheni woga, uchaguzi uwe huru na haki atakayeshindwa asipate sababu za kujitetea. Inapendeza sana uchaguzi ukiwa huru na mshindi na walioshindwa wakapeana mikono ya heri, lakini hizi figisu mnazoanza hazitatuacha salama. Kama mumefanya vizuri mtachaguliwa tu, sasa hizi hofu za nini tena.