Santana
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 277
- 884
Habarz za asubuhi wana JF.
Nipo kwenye mausiano na mpenzi wang ila karibu miez 5 hatukuwahi kuonana kutkan n sababu zilizokuwa nje ya uwez. Sasa siku tumekutana ilikuw ni siku ya 1 kabla ya kuanza bleed na tukakutana mpaka siku yenyewe anableed ila saivi nashangaa ni mjamzito.
Naomba mnisaidie kujua kama inaweza ikatokea akapata ujauzito kipindi akiwa anableed tena mimba inaonyesha ina week 2 ambazo ni muda toka nimeanz kulala nae.
Nipo kwenye mausiano na mpenzi wang ila karibu miez 5 hatukuwahi kuonana kutkan n sababu zilizokuwa nje ya uwez. Sasa siku tumekutana ilikuw ni siku ya 1 kabla ya kuanza bleed na tukakutana mpaka siku yenyewe anableed ila saivi nashangaa ni mjamzito.
Naomba mnisaidie kujua kama inaweza ikatokea akapata ujauzito kipindi akiwa anableed tena mimba inaonyesha ina week 2 ambazo ni muda toka nimeanz kulala nae.