Santana
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 277
- 884
- Thread starter
- #21
Nimekuelewa apo na ushauri wako nitaufanyia kazNa hivi sasa MNA wiki 2 Tangu mkunjane,, na mimba ina wiki 2?
Kama NI hivo kuna walakini
Siku kabla ya bleed huwezi kutungisha mimba na baada ya bleed siku kumi mbele huwezi tungisha mimba hii ni kwa wote wenye mzunguko wa siku 28,32,35 n.k
Ushauri mchukue kama saprise mpeleke kituo cha afya asichokijua mkapime hiyo mimba achana na mambo ya kusema we kaa nje ngoja niingie peke yangu kwa dkt, uangalie mimba ni ya mda gani? Hapohapo uombe ushauri kwa dkt kama unahisi zengwe.
Sio kuja kuuliza madkt mtandaoni kama wale marais wa mtandaoni.