Kuna uwezekano wa HELSB kupunguza Mkopo?

Jovin john

Member
Oct 13, 2020
14
3
Naomba kuuliza mtu Akipata Sup anaweza punguziwa asilimia za mkopo wake?

Pia mtu anapomaliza mwaka mmoja kwenda mwingine anaweza kuongezewa asilimia kama alikua amepewa asilimia kidogo?
 
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha
 
Is this official !!?
Kwenye mkataba gaya unayosema yapo!?
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha
 
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha

Asante mkuu
 
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha
Lies
 
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha
😅😅😅😅 sasa pesa zingesha isha mkuu 15%
 
kwa kila sup moja unapunguziwa asilimia 15%, unapoenda mwaka unaofata unaongezewe asilimia 20% ya mkopo, kazi kwako kukazana kusoma ili mpaka unamaliza shule japo uwe umetoka na kiwanja + vyumba angalau viwili vya kuanzia maisha
Akili za kupewa changanya na zako mtoa mada
 
Naomba kuuliza mtu Akipata Sup anaweza punguziwa asilimia za mkopo wake?

Pia mtu anapomaliza mwaka mmoja kwenda mwingine anaweza kuongezewa asilimia kama alikua amepewa asilimia kidogo?
Hakuna kupunguziwa mkopo hata kama unasup 7 cha msingi tu nikuzisapya ila mkopo wako uko pale pale kama ulikuwa unapata 520k ni hiyo hiyo mpaka umalize chuo labda tu kama umepata sup 12
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom