sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,363
Habar ya asubuh wanajamvi?
Niende kwenye lengo,la kuandika kaujumbe ka leo.
Baada ya kukamatwa kwa Dreva tax kwa kosa la kumteka Mo Dewji, na kosa la utakatishaji.
Nimejiuliza swali hivi ili neno utakatishaji ni nini maana yake?je ni watanzania wangapi tunajua maana ya utakatishaji fedha? Je kosa ili kisheria ni kosa gani?
Je kwa tafsiri yyte iwayo,hatuoni kama watanzania wengi tumeisha takatisha pesa paspo kujua?
Nmejiuliza swali ili na baada ya kujiuliza sana basi nilijarbu poa kupitia watu walio karbu yangu hakika wengi hawaelewi neno UTAKATISHAJI lina maana gani na kitendo cha utakatishaji kinafanywaje?
Katika mjadara wetu,tuliitimisha kwa kuomba kila mmoja wetu ajichunguze baada ya kujua ni nini mantiki yake,je yupi aliye salama?
Naomba ndgu zangu wenye uelewa mtuelimishe ili tuweze epuka kufanya makosa haya.
Maana sasa imekuwa very commoni,kila anae shitakiwa kwa kosa ili basi la itakatishaji nalo linaongezeka.
Niende kwenye lengo,la kuandika kaujumbe ka leo.
Baada ya kukamatwa kwa Dreva tax kwa kosa la kumteka Mo Dewji, na kosa la utakatishaji.
Nimejiuliza swali hivi ili neno utakatishaji ni nini maana yake?je ni watanzania wangapi tunajua maana ya utakatishaji fedha? Je kosa ili kisheria ni kosa gani?
Je kwa tafsiri yyte iwayo,hatuoni kama watanzania wengi tumeisha takatisha pesa paspo kujua?
Nmejiuliza swali ili na baada ya kujiuliza sana basi nilijarbu poa kupitia watu walio karbu yangu hakika wengi hawaelewi neno UTAKATISHAJI lina maana gani na kitendo cha utakatishaji kinafanywaje?
Katika mjadara wetu,tuliitimisha kwa kuomba kila mmoja wetu ajichunguze baada ya kujua ni nini mantiki yake,je yupi aliye salama?
Naomba ndgu zangu wenye uelewa mtuelimishe ili tuweze epuka kufanya makosa haya.
Maana sasa imekuwa very commoni,kila anae shitakiwa kwa kosa ili basi la itakatishaji nalo linaongezeka.