Elections 2010 Kuna uwezekano mkubwa uchaguzi wa Rais kurudiwa

Status
Not open for further replies.

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,260
Salaam Members JF na waTZ kwa ujumla.
Tangu matokeo ya awali yaanze kutolewa hadi sasa hali ilivyo kuna dalili ya hawa wagombea wote wa urais hakuna ambaye anaweza akapata ushindi wa moja kwa moja utakaomuwezesha kuwa mshindi.

Na hali kama hiyo ikitokea nadhani ni wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi ndio watakao ingia ktk kinyang'anyiro hicho.

Je NEC imejiandaa vya kutosha kukabiliana na hali hii kama itajitokeza, pia kwa wagombea na wananchi wanauelewa juu ya hili.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania.
 
Nafikiri katiba ya nchi yetu haimupi ushindi mgombea urais au ubungo kwa kuangalia asilimia, badala yake unaangalia tu majority votes. Kwa hiyohata kama watapishana kwa kura moja, bado mwenye kura inayozidi ataapishwa kuwa rais. Kwa hiyo hakuna kitu kinachoitwa kurudia uchaguzi. Jiandae tu kusherehekea au kulia based on results utakazokutana nazo.
 
Nadhani kwa sheria ya TZ, tunafuata SIMPLE MAJORITY. Hata ukiongoza kwa 34% unatengeneza serikali. Na ukitaka unaweza hata usiwahusishe wenzako. Winner takes all. Ndo maana tunalia na katiba mpya.
 
This will work to our advantage. It means CUF watatuunga mkono. We'll then get 74% of votes. Lets pray it turns out that way.
Bye bye sisiem
 
Hakuna kitu kama hicho tunatumia simple majoity voting system(wengi wape) hakuna kurudia maana hata kura moja inaweza kumpatia mtu ushindi
 
Na yakirudiwa ndio uchakachuaji utachua nafasi yake lasivyo ni kukaza buti tuuu

Salaam Members JF na waTZ kwa ujumla.
Tangu matokeo ya awali yaanze kutolewa hadi sasa hali ilivyo kuna dalili ya hawa wagombea wote wa urais hakuna ambaye anaweza akapata ushindi wa moja kwa moja utakaomuwezesha kuwa mshindi.

Na hali kama hiyo ikitokea nadhani ni wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi ndio watakao ingia ktk kinyang'anyiro hicho.

Je NEC imejiandaa vya kutosha kukabiliana na hali hii kama itajitokeza, pia kwa wagombea na wananchi wanauelewa juu ya hili.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania.
 
Salaam Members JF na waTZ kwa ujumla.
Tangu matokeo ya awali yaanze kutolewa hadi sasa hali ilivyo kuna dalili ya hawa wagombea wote wa urais hakuna ambaye anaweza akapata ushindi wa moja kwa moja utakaomuwezesha kuwa mshindi.

Na hali kama hiyo ikitokea nadhani ni wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi ndio watakao ingia ktk kinyang'anyiro hicho.

Je NEC imejiandaa vya kutosha kukabiliana na hali hii kama itajitokeza, pia kwa wagombea na wananchi wanauelewa juu ya hili.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania.

Mkuu katiba ya wapi inyosema hivyo?, Tanzania wanaangalia nani kaongoza hata kama wamegawana 30% na mmoja wao akapata 31% kuwazidi wote huyo ndiyo mshindi. Mambo ya 50% hatuna labla kama katiba imebadilishwa kuwa hivyo
 
Hapa tz kanuni ni simple majority hata kwa kura moja. imewala ccm tayari. waachie taifa kwa wenyewe.
 
Salaam Members JF na waTZ kwa ujumla.
Tangu matokeo ya awali yaanze kutolewa hadi sasa hali ilivyo kuna dalili ya hawa wagombea wote wa urais hakuna ambaye anaweza akapata ushindi wa moja kwa moja utakaomuwezesha kuwa mshindi.

Na hali kama hiyo ikitokea nadhani ni wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi ndio watakao ingia ktk kinyang'anyiro hicho.

Je NEC imejiandaa vya kutosha kukabiliana na hali hii kama itajitokeza, pia kwa wagombea na wananchi wanauelewa juu ya hili.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania.


come on dude.. ndio matumaini kwa mzee slaa yameshuka hivo.. this isn't a fairy tale stories, it is happen out there & it is real! JK anarudi kumalizia kipindi chapili.. wapinzani wajipange na kujiunga kwa ajili ya 2015
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom