MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Rene Weiler ( Switzerland ) aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa Afrika Al Ahly
2. Diego Garzitto ( France ) aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa ya Sudan ya El Merreikh na Kamaliza nayo Mkataba rasmi leo
3. Sebastian Desabre ( France ) aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) ila anataka Pesa ( Fedha ) ndefu mno
4. Steve Keane ( Scotland ) Kocha Msaidizi wa Melbourne Victory ya nchini Australia
Kila la Kheri kwa Simba SC kama kweli tu mmojawapo atakuwa Kocha Mkuu wa Simba SC japo hili suala la FCC na Simba SC liangaliwe Kiumakini.
2. Diego Garzitto ( France ) aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa ya Sudan ya El Merreikh na Kamaliza nayo Mkataba rasmi leo
3. Sebastian Desabre ( France ) aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) ila anataka Pesa ( Fedha ) ndefu mno
4. Steve Keane ( Scotland ) Kocha Msaidizi wa Melbourne Victory ya nchini Australia
Kila la Kheri kwa Simba SC kama kweli tu mmojawapo atakuwa Kocha Mkuu wa Simba SC japo hili suala la FCC na Simba SC liangaliwe Kiumakini.