pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 725
- 1,115
We una ushahidi gani kama Ben Saanane alichukuliwa na JPM,afu u ajua Watanzania mda mwingine tunajitakiaga matatizo ambayo hayana msingi tunaanza kusingizia kuwa hakuna demokrasia,hivi mfano hapo tu ukakamatwa kwa maneno uliyoyatamka kwamba ukatoe ushahidi kwa ulichokiongea utasema nini wewe zaidi ya kusema unaonewa kumbe wewe ndo hutumii akili.Sawa mwambie ben saanane yuko wapi na PhD yake feki bado anaitumia?
Sent using Jamii Forums mobile app
hardworking pays