CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
KAMA MADUKA yataendelea kupewa nafasi za kujimwamwaya na ma libero kama Wawa wanaokataa kuruka juu wataendelea kuchekewa basi tutarajie maumivu makubwa huko shirikisho sababu hadi sasa kuna uwezekano mkubwa Rs berkane au Fs rabat(nafikiri wamefuzu) kuja kuua nyoka kwa lupaso
Mimbio ya kisinda na ule uuzaji duka tuliouona upande wa kulia jana tutarajie kuzomewa na wana utopwinyo hadi tulie machozi ya damu ila one thing for sure najua hizo mechi mashabiki watazisusia unless TUONE SOME REAL CHANGES
Kama namuona clatous chama atakavyokuwa anampiga makanzu pascal wawa, uwiii Mungu tuepushe na fedheha inayokuja
Mimbio ya kisinda na ule uuzaji duka tuliouona upande wa kulia jana tutarajie kuzomewa na wana utopwinyo hadi tulie machozi ya damu ila one thing for sure najua hizo mechi mashabiki watazisusia unless TUONE SOME REAL CHANGES
Kama namuona clatous chama atakavyokuwa anampiga makanzu pascal wawa, uwiii Mungu tuepushe na fedheha inayokuja