Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Issue ni kwamba.. Kama ni Mkopo umepokelewa lini?

Maana hata Bwawa la Umeme nalo ni wazo la Nyerere
Sizungumzii wazo, nazungumzia kutafuta fedha na kusaini mradi ili uanze rasmi.

Haiwezekani mradi ubuniwe na mtu X, utafutiwe fedha na mtu X halafu ukamilike wakati wa mtu Y kisha uje useme eti ni achievement ya mtu Y

Ndiyo maana uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa ulianza ujenzi wakati wa Mkapa ukakamilika wakati wa Kikwete lakini credit tunampa Mkapa na si Kikwete
 
Naingia ndani kwanza theruji inamwagika sana leo. Wazee wa "regasi" wakikujibu niite.
Katika Tanzania baada ya Uhuru ni Mwl. Nyerere na Mwl. Dk. Magufuli ndio walioacha alama zisizoweza kufutika nchini. Labda wafuatiwe na Che Nkapa. Wengine waliobaki watatumia mikopo na waandishi uchwara kuwapamba, lakini hawatafua dafu.
 
Katika Tanzania baada ya Uhuru ni Mwl. Nyerere na Mwl. Dk. Magufuli ndio walioacha alama zisizoweza kufutika nchini. Labda wafuatiwe na Che Nkapa. Wengine waliobaki watatumia mikopo na waandishi uchwara kuwapamba, lakini hawatafua dafu.
Kama zipi? Mkapa aliacha nini ambacho Kikwete hakuaacha. Na Magufuli ameacha nini ambacho waliomtamgulia au Samia hataacha. Ni Rais gani tangu uhuru aliyewahi kutatua tatizo la "second selection"? Ni Rais gani aliyewahi kujenga madarasa 18000 katika miezi 9 ya kwanza ya uongozi wake?
 
Sizungumzii wazo, nazungumzia kutafuta fedha na kusaini mradi ili uanze rasmi.

Haiwezekani mradi ubuniwe na mtu X, utafutiwe fedha na mtu X halafu ukamilike wakati wa mtu Y kisha uje useme eti ni achievement ya mtu Y

Ndiyo maana uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa ulianza ujenzi wakati wa Mkapa ukakamilika wakati wa Kikwete lakini credit tunampa Mkapa na si Kikwete
Basi wewe mada yako si ya hapa. Hapa ni mkopo. Mambo ya Credit upo sahihi.
 
Kuna mambo umesema uongo, mradi wa maji kutoka Mwanza hadi Shinyanga ni kazi ya Benjamin Mkapa,Waziri wa kipindi kile alikua Edward Lowassa!

Maji yakutoka mwanza, shinyanga, kahama,nzega hadi igunga,bado hayajafika Singida!

Pia usidhani watu hawana takwimu,hakuna zahanati iliyojengwa kila kata!

Maji bado ni shida,jaribu kutembea watu wanatumia maji ya mtoni,wengine wanasubiri mvua inyeshe,halafu wachote yale yanatwaama barabarani!
Ndiyo maana ni ujinga kutofautisha serikali katika kukopesha kwa sababu miradi mingi ni endelevu..hata miradi mingi ya awamu ya nne imelipwa awamu ya tano kama mama anavyopambana kulipia miradi iliyoanza awamu ya nne na tano.kulipia maana yake Anaweza kukopa mambo yakaenda ...
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Well said lazima watanzania wapewe breakdown ya mkopo huo.
Mipango aliyekuwa Waziri wa fedha yupo
 
Tunaendeshwa kipumbafu,kama mwenda alikopa vibaya wasaidizi wake wooote wajieleze!! Kuanzia makamu wake,waziri mkuu wake,waziri wake wafedha,spika alokuwepk nk. nk.

Hatuwezi kudanganywa kama wajinga kwamba tunajenga kwa pesazetu huku kwakificho serikali inakopa vibaya mmmno!!
Hii ni point sana
 
Back
Top Bottom