Kijijini kwetu sisi kuna zahanati mbili, mbeya rungwe hukuKigazi- wilayani misenyi huko. Watu wa mjini ndo wanaeza kuamini hizo habari za zahanati kila kijiji.
Hata mimi sijui ila nina hakika hajaenda nazoKaziacha wapi tukazichukue
Nje ya nchi mbali na nchi za africa sidhani kwa kuwa haukuwahi kwenda huko,Ndiyo maana ni muhimu kufanya auditing ya matumizi ya hii pesa. Huenda ipo nje ya Tanzania.
Rudi kwenye mada. Waliohoji wengi tu walipotezwa. Wengine walifukuzwa na wakabaki waimba nyimbo za mapambio na kuabudu. Kuna moja alihoji PhD yake tu Lakini hayupo leo. Tunajadili haya ili tujifunze na utawala uliopo uzuie makosa haya.Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.
Kama unajua zilivyotumika shusha data acha longolongo. Uwenda hujui hesabu wewe. Na Kama mtanzania mzalendo lazma ujue nchi yako inavyooenda sio kuwa na ule uzalendo wa kijinga jinga. Upumbafu wa kutokuhoji au kukosoa mamlaka ndio uitwe uzalendoNdio mjione mlivyo wapumbavu,aliyekwambia mikopo ni kwa ajili ya kujengea reli tuu ni nani? Unadhani Nchi inaongozwa kwa ajili ya reli tuu?
Mikopo iko ya aina nyingi na inaweza kutumika hata kwa ajili ya kulipia madeni mengine nk.
Ni hatariKwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.
Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Tumia akili kidogo basi.
Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?
Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?
Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.
Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?
Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .
Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.
Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Namba hazidanganyi😅😅Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki
Tunataka mahesabu yakeWewe mjinga magufuli kakopa 29 t ndani ya miaka mitano, shangazi yako kakopa 10t ndani ya miezi nane
Pesa nyingi ziliishia kwa madalaliAlijikita kununua wapinzani
sahihi2025 yatupasa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiutawala kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho,, mafc sio watu wema kwa taifa hili, kwani wanaona pia kubadili Katiba itakuwa mwiba kwao,,, Watz tuu waoga sana, lakini Hawa jamaa hawachelewi kukupatia kesi za kusingizia
Bado haifiki 29TrilioniUjenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Bila katiba Bora Katiba Mpya tutaendelea kupigwa sana watanzaniaHoja hii ifungamanishwe na madai ya katiba mpya.
Kufanyike total audit kwa mapato na matumizi yote katika awamu ya tano.
Pesa zote zifahamike zilikwenda wapi na hatua stahiki kuchukuliwa.
Zaid ya ujenzi wa chatoUjenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Aliyoyafanya kamwe hayawezi kumaliza Trilion 29 afu hata hivyo miradi kibao tu kaacha haijamalizika sasa pesa alipeleka wapi?Tumia akili kidogo basi.
Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?
Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?
Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.
Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?
Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .
Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.
Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Ndugai billioni 29. Kagame 1.5T kwa ujumla walikuwa wanagawanaKwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.
Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Wewe mjinga magufuli kakopa 29 t ndani ya miaka mitano, shangazi yako kakopa 10t ndani ya miezi nane