Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Miezi 9 tumekopa trilion 10 na tozo juu zimefanya kazi gani. Mpaka tukamalize miaka 10 kuna uwezekano wa kukopa trilion 100 na zaidi
 
Na
Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.
Rudi kwenye mada. Waliohoji wengi tu walipotezwa. Wengine walifukuzwa na wakabaki waimba nyimbo za mapambio na kuabudu. Kuna moja alihoji PhD yake tu Lakini hayupo leo. Tunajadili haya ili tujifunze na utawala uliopo uzuie makosa haya.
 
Ndio mjione mlivyo wapumbavu,aliyekwambia mikopo ni kwa ajili ya kujengea reli tuu ni nani? Unadhani Nchi inaongozwa kwa ajili ya reli tuu?

Mikopo iko ya aina nyingi na inaweza kutumika hata kwa ajili ya kulipia madeni mengine nk.
Kama unajua zilivyotumika shusha data acha longolongo. Uwenda hujui hesabu wewe. Na Kama mtanzania mzalendo lazma ujue nchi yako inavyooenda sio kuwa na ule uzalendo wa kijinga jinga. Upumbafu wa kutokuhoji au kukosoa mamlaka ndio uitwe uzalendo
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Ni hatari
 
Wewe mjinga magufuli kakopa 29 t ndani ya miaka mitano, shangazi yako kakopa 10t ndani ya miezi nane
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .

Ww ulilewa propaganda zake ndio maana unataja miradi kwa wingi bila kuweka thamani yake. Hapa tatizo sio wingi bali ni thamani. Sema mradi wa maji toka mwanza mpaka singida ni shilingi ngapi. Kisha uweke vituo vya afya nchi nzima ni vingapi na thamani yake ni ngapi. Maana najua vituo vya afya nchi nzima hata kama vingekuwa vimekamilika havikufika 500b. Sasa hiyo miradi uliyotaja weka thamani yake iendane na hiyo 29t aliyokopa. Nape alishagundua huo uizi ndio maana akataka ukaguzi wa fedha za mikopo. Lakini sukuma gang mkawa wakali maana mlijua legacy itapotea.
 
2025 yatupasa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiutawala kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho,, mafc sio watu wema kwa taifa hili, kwani wanaona pia kubadili Katiba itakuwa mwiba kwao,,, Watz tuu waoga sana, lakini Hawa jamaa hawachelewi kukupatia kesi za kusingizia
 
2025 yatupasa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiutawala kwa maslahi ya taifa na kizazi kijacho,, mafc sio watu wema kwa taifa hili, kwani wanaona pia kubadili Katiba itakuwa mwiba kwao,,, Watz tuu waoga sana, lakini Hawa jamaa hawachelewi kukupatia kesi za kusingizia
sahihi
 
Hoja hii ifungamanishwe na madai ya katiba mpya.

Kufanyike total audit kwa mapato na matumizi yote katika awamu ya tano.

Pesa zote zifahamike zilikwenda wapi na hatua stahiki kuchukuliwa.
Bila katiba Bora Katiba Mpya tutaendelea kupigwa sana watanzania
 
Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Zaid ya ujenzi wa chato

Fly over tazara ni msaada Japan pesa alipokea kikwete

Elimu bila ada inafadhiliwa na mabeberu

Fly over ubungo pesa za benk ya Dunia kupita DMDP ilisainiwa na kikwete 2013

Toen maelezo hizo pesa mmepeleka wap

Daraja la Tanzanite msaada south korea
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Aliyoyafanya kamwe hayawezi kumaliza Trilion 29 afu hata hivyo miradi kibao tu kaacha haijamalizika sasa pesa alipeleka wapi?

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Ndugai billioni 29. Kagame 1.5T kwa ujumla walikuwa wanagawana

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom