Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Vita ya nini sasa? Toa hoja acha matusi. Kama haukunielewa kwa mfano huo rahisi basi nakuacha. Mimi na wewe tuko level tofauti sana.
Unatumia nguvu sana kujishawishi mwenyewe kwamba hayati hajafanya kitu?... Hii roho inayokuandama nitakuombea.

Ila uwanaj wa chato na hospital ya chato naamini utaziona tuuu.
 
SSH amekopa 10trl kwa miezi 6, mnajaribu kutetea huu ujinga?
Amekopa ili kuendeleza legacy...SGR,Bwawa la Umeme Rufiji, na projects zingine na akikopa anasema pesa ni kiasi gani na zimeenda wapi...si unajua asipoendeleza hizi project mtachonga sana, lakini pia hizo pesa zilizowekezwa hapo project zisipomaliziwa tutakuwa tumepoteza pesa.
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Mshumbusi ukipata majibu unisitue tafadhari
 
Hili swali liliulizwa na Mh.Nape bungeni hakupata majibu yanayoeleweka.
CAG anatakiwa achungulie,
tunahitaji kujua value for money.
JPM na Mpwa wake wamepiga parefu
Mimi nahisi ukijua chimbo la mwendazake Dunia inaweza tetemeka
 
Hata tukiwa wanyenyekevu habari ndo hiyo!

Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Hebu tuweke kiswahi vizuri, Sasa wewe unatetea mikopo alafu unasema tukinunua ndege cash nashindwa kuelewa. Kumbe ndege nazo tulinunua kwa kukopa alafu mnatudanganya mlinunua cash
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Zile hela alizokuwa anagawa njiani na kununua viongozi wa dini na upinzani ndiyo hizo
 
Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Hoja ya mtoa mada so vitu vilivyofanyika bali gharama/thamani ya vitu hivyo inalingana na hizo trllion 29 plus makusanyo ya kodi? of course ongeza matumizi ya kawaida ya serikali
 
Jenga hoja ndugu. Rejea kwa aliyeanzisha huu uzi. Kila kitu kimendikwa thamani yake lakini haikaribii hata nusu ya pesa aliyokopa Mwendazake. Kama una hoja iweke hapa. Usitumie rungu. Weka hapa vitu alivyofanya na thamani yake. Hoja haijibiwi kwa vita. Wewe umesema vita, Nyerere alisema rungu.
Unatumia nguvu sana kujishawishi mwenyewe kwamba hayati hajafanya kitu?... Hii roho inayokuandama nitakuombea.

Ila uwanaj wa chato na hospital ya chato naamini utaziona tuuu.
 
Hebu tuweke kiswahi vizuri, Sasa wewe unatetea mikopo alafu unasema tukinunua ndege cash nashindwa kuelewa. Kumbe ndege nazo tulinunua kwa kukopa alafu mnatudanganya mlinunua cash
We bwana uliambiwa, ndege atukopi, hadi leo hatuna mpango wa kukopa ndege!
 
Ndio mjione mlivyo wapumbavu,aliyekwambia mikopo ni kwa ajili ya kujengea reli tuu ni nani? Unadhani Nchi inaongozwa kwa ajili ya reli tuu?

Mikopo iko ya aina nyingi na inaweza kutumika hata kwa ajili ya kulipia madeni mengine nk.
We msengerema leo umeongea point.
 
Hapa hatuchafui Wala kusifu mtu. Hakutaka watu wamkosoe akiwa madarakani ndio maana tutahoji Sana Sasa. Alafu alilofanya Kazi nao wapo. Kama tulikosea lazima tujadili tujue tulikosea wapi tujirekebishe Kama taifa. Tusiposema Mama atarudia makosa yaleyale
Au ameshayarudia tayari. Si nasikia nae ananunua ndege kwa fedha taslimu! Fedha /mkopo wa covid unajenga shule na zahanati na fedha za tozo nazo zinajenga kitu kile kile!
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Serikali ndiyo ilikopa siyo Magufuli
Hayo maswali anaweza kujibu rais aliyekuwa makamu na makamu wa rais aliyekuwa Waziri wa fedha
 
We bwana uliambiwa, ndege atukopi, hadi leo hatuna mpango wa kukopa ndege!
Lamda sijaelewa vizuri lakini kama mh alikopa hizo trl 29 kwa wakati tofauti lakn alipoenda huko Canada akalipa cash kwa pesa aliyokopa sehemu nyingine hv hatuwezi kusema kuwa ndege tulikopa?
 
Ni ujinga tu wa baadhi ya wana ccm kuimba zahanati kila kijiji, kama vile vijiji wanavyo maanisha si vile tunavyo ishi.
Ujinga mkubwa ni kuwakubali CCM wote, bila serious check and balance. Kukubali matumbo yatutawale.
 
Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.

Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.

7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).

11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.

12. Ujenzi wa SGR.

13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.

14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.

15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.

16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.

17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.

19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.

20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata

21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.

22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.

24. n.k.


Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.
Weka gharama /thamani kwa kila mradi - hapo utakuwa umejibu hoja, lakini ukiacha wazi watu watajaza figure na itaonekana majibu hayatoshi, Bahati nzuri umeshapewa kuwa the total has to be at least 29tr.
 
Weka gharama /thamani kwa kila mradi - hapo utakuwa umejibu hoja, lakini ukiacha wazi watu watajaza figure na itaonekana majibu hayatoshi, Bahati nzuri umeshapewa kuwa the total has to be at least 29tr.
Namimi nimewatajia sehemu tu ya matumizi ukiacha mengine kama madawa ya hospital.
 
Back
Top Bottom