Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Tunajenga kwa pesa zetu na kununua madege kwa pesa zetu wenyewe. Sisi ni dona kantry. Watanzania tutembee kifua mbere... Alisikika akitamba yule fara.
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
 
Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.

Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.

7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).

11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.

12. Ujenzi wa SGR.

13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.

14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.

15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.

16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.

17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.

19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.

20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata

21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.

22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.

24. n.k.


Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.
1. REA imeanza kazi Mwaka 2007,(awamu ya kwanza ya Kikwete.
8. Uwanja wa ndege wa mpanda umefadhiliwa na UNHCR.
14. Ujenzi wa soko kila mkoa hapo ni uongo.
 
Acha bla bla... Weka na thamani halafu tuilinganishe na Trilion 29. Hata mimi wakati wa sikukuu nimenunua vitunguu, nyanya, mdalasini, iliki, nyama ya ng'ombe, samaki, mbuzi, kuku, mapambo, zawadi za watoto, usafiri kwenda na kurudi toka beach nk. Mazagazaga kibao lakini hata mil 1 haifiki.
Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.

Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.

7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).

11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.

12. Ujenzi wa SGR.

13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.

14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.

15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.

16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.

17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.

19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.

20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata

21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.

22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.

24. n.k.


Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.
 
Hata flyovers ni za Kikwete pia kwa msaada wa Wajapani. Huyo Mwendazake ali brainwash sana wafuasi wake.
1. REA imeanza kazi Mwaka 2007,(awamu ya kwanza ya Kikwete.
8. Uwanja wa ndege wa mpanda umefadhiliwa na UNHCR.
14. Ujenzi wa soko kila mkoa hapo ni uongo.
 
Idd Amin na madikteta wengine bado wanaongelewa itakuwa huyu dikteta uchwara? Kama hautaki mumwongelea, nenda jukwaa la mapenzi huko.
Hili swali lingekuwa zuri kama Marehemu Magu angekuwa hai lkn kwa sasa ni nosense.huwezi kumhukumu mtu ambae hayuko hai.mnaowajadili wafu mnakosea unless mnawajadili kwa mazuri yao lkn si kwa mabaya.kila nafsi itaonja umauti.
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Jambazi yule mkuu, alikopa kununua risasi maana alipanga kukaa madarakani milele
 
Acha bla bla... Weka na thamani halafu tuilinganishe na Trilion 29. Hata mimi wakati wa sikukuu nimenunua vitunguu, nyanya, mdalasini, iliki, nyama ya ng'ombe, samaki, mbuzi, kuku, mapambo, zawadi za watoto, usafiri kwenda na kurudi toka beach nk. Mazagazaga kibao lakini hata mil 1 haifiki.
Duh.. sasa nyanya zimeingiaje hapo?,

Wivu tu. Umejiandaa kwa vita, nisije nikapigwa bani bule. hahah.
 
1. REA imeanza kazi Mwaka 2007,(awamu ya kwanza ya Kikwete.
8. Uwanja wa ndege wa mpanda umefadhiliwa na UNHCR.
14. Ujenzi wa soko kila mkoa hapo ni uongo.
REA ya Kikwete ilifanya kazi vijiji 2000 tu. Nenda kwenye amasoko utaona utamu.

Mwanamme alipiga kazi kisawasawa hadi mkalalamika kutwa kucha anazindua tu.
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Jakaya ndo alilipa mishahara kwa mkopo waulize watumishi waliwahi kufika mpaka tarehe 38 hajapata mishahara yao kipindi icho
 
Vita ya nini sasa? Toa hoja acha matusi. Kama haukunielewa kwa mfano huo rahisi basi nakuacha. Mimi na wewe tuko level tofauti sana.
Duh.. sasa nyanya zimeingiaje hapo?,

Wivu tu. Umejiandaa kwa vita, nisije nikapigwa bani bule. hahah.
 
Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.

Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.

7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).

11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.

12. Ujenzi wa SGR.

13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.

14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.

15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.

16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.

17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.

19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.

20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata

21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.

22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.

24. n.k.


Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.
Daraja la Mfugale ni kazi ya utawala wa JK, ndio uliotia saini mkataba wa ujenzi na pesa ilitoka Japan

Daraja la Coco beach pia ni msaada kutoka South Korea na mradi ulitafutwa na utawala wa Jakaya.

Ukiondoa SGR, Bwawa la umeme na manunuzi ya hovyo ya midege, vimiradi vyake vingine ni vya kawaida sana
 
Jakaya ndo alilipa mishahara kwa mkopo waulize watumishi waliwahi kufika mpaka tarehe 38 hajapata mishahara yao kipindi icho
Sijui anaongelea nchi gani huyu!
Sijawahi kupokea mshahara zaidi ya tar. 28 tokea enzi za Mkapa.
Sasa sijui wamwongopea nani!!!
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Rais yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je, fedha zake alifanyia Nini? Takwimu hazidanganyi.

Inasemekana alikopa trilion 29 kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli Dar to Kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu Nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.

Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100 Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je, fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua Trilion Moja tu. Lakini kila Mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa, shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30.

Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.

Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?

Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Akaunti za jiwe zikaguliwe
 
Daraja la Mfugale ni kazi ya utawala wa JK, ndio uliotia saini mkataba wa ujenzi na pesa ilitoka Japan

Daraja la Coco beach pia ni msaada kutoka South Korea na mradi ulitafutwa na utawala wa Jakaya.

Ukiondoa SGR, Bwawa la umeme na manunuzi ya hovyo ya midege, vimiradi vyake vingine ni vya kawaida sana
Issue ni kwamba.. Kama ni Mkopo umepokelewa lini?

Maana hata Bwawa la Umeme nalo ni wazo la Nyerere
 
Zaid ya ujenzi wa chato

Fly over tazara ni msaada Japan pesa alipokea kikwete

Elimu bila ada inafadhiliwa na mabeberu

Fly over ubungo pesa za benk ya Dunia kupita DMDP ilisainiwa na kikwete 2013

Toen maelezo hizo pesa mmepeleka wap

Daraja la Tanzanite msaada south korea
 
Back
Top Bottom