ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,555
- 3,749
Wanatumia pesa kupunguza ukali wa maisha. Wanawalipa Raia wote,biashara zote ziendelee.Labda wewe mimi afadhali awamu hii kuliko ya Magu hali mbaya ya kiuchumi ipo karibu dunia nzima vitu vimepanda bei kweli
Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile appW