Tetesi: Kuna uwezekano wa DPP Kufuta kesi ya Mbowe na wenzake Leo

Hivi sheria nayoinatakiwa kusikiliza disclaimers au?
Maana kwa sasa naona kama mashabiki wana nguvu kuliko kocha kiasi kwamba kuna wakati kocha inaonekana anakuwa parcel ya mashabiki
Dunia hii inabadilika na inaenda kasi sana
 
Kumekuwa na Tetesi toka vyanzo mbali mbali kuwa kesi ya Mbowe na Wenzake huenda ikafutwa leo.

Kwa Mujibu waTwitter wa Reporter Mpambanaji ambaye amekuwa akireport kesi hii bila kuchoka toka awali Martin Maranja Masese amesema nanukuu

" Leo kunaweza kuwa na Habari Njema wote tukasome Wagalatia 3:26-28"

Kumekuwa na taarifa kadhaa zikisema kumekuwa na jitihada za baadh ya viongozi waandamizi wastaafu, Viongozi wa Dini ambao wamekuwa wakimuomba Mama Samia kiutaka ofisibya DPP kufuta kesi hiyo.

Mbali ya viongozi hao kwa wale wanaofuatilia mwenendo mzima wa kesi hiyo ni dhahiri kuwa Mashahidi wanekuwa dhaifu sana kwenye ushahidi wao kiasi ambacho Mawakili wasomi wengi wamesema kwa kesi ya Ugaidi hakuna ushahidi wa maana mpaka sasa unaweza kuwatua watuhumiwa hatuani pamoja mpka sasa zaidi ya mashahidi kumi (11) wameshatoa ushadi wao.

Pia kuna watu wengi wamekuwa wakiita kesi hii ni ya Mchongo kutokana na mwenendo mzima wa ushahidi unatolewa mahakani hapo.

Niwatakie siku njema, Twendeni mahakani.

View attachment 2095917

View attachment 2095918

View attachment 2095926
Huyu mama ana matatizo ya akili kama mtangulizi wake, hawashauriki
 
Wafute na waombe msamaha watz. Na wakiri ni nani aliyewashauri utopolo huo. Huwezi ukapata ushahidi kwa kesi za kubumba ni lzm watapishana tu
 
Sasa mashahidi wameshaulizwa kama sehemu yoyote wamewahi kusikia watuhumiwa wakipanga kutenda ugaidi..wote wamesema hapana. Kuna kesi gani hapo ya ugaidi? Nimekuja kujua watu wengi wa serikalini ni vilaza... huwezi kusuka kesi kama hii huku huna voice note au msg zozote zinazoonyesha watu wanapanga ugaidi
Kama hata maofisa wa polisi wana ua wa ajili 30m hapo kuna polisi tena kweli?? Halafu bado Siro yuko madarakani.. Hovyooo!!!
 
Hii kesi imetusaidia Sana kuwajua vinara wa wasiojulikana angalau familia za marehemu zitapata pa kuanzia.
 
Kwanini wamtoe WENYEWE hawataki .acha mahakama iamue
Wewe kweli ni mjinga. Nakuelewesha hapa ili upunguze ujinga.

Hawakusema kuwa hawataki Mbowe atoke bali Mbowe mwenyewe alisema hataki kutoka kwa kuomba msamaha wakati hana kosa.

Wengi wakasema pia ni aheri kesi iendelee kuliko kuomba msamaha wakati wewe unayeambiwa uombe msamaha ndiye uliyestahili kuombwa msamaha. La sivyo ni aheri kesi iendelee ili hawa majuha na mahakama yao ya mchongo wazidi kuumbuka.
 
Sasa mnachanganya hamueleweki.
Zito alimuombea msamaha mkasema zito mnafiki.
Ila Mimi nilikuwa upande wa zito.
JELA SIO KUZURI.ila wenye mwenyekiti wenu mlipinga mkataka mahakama iamue.
Basi tuache mahakama iamue Ila mkae mkijua siku zinaenda
Kuna kazi nyingi zinamsubiri.
 
Basi acheni mahakama iamue.
Mbowe anasema vipi Hana kosa wakati kesi IPO mahakamani ?
mahakama ndo itaamua Kama Ana kosa au la
Wewe kweli ni mjinga. Nakuelewesha hapa ili upunguze ujinga.

Hawakusema kuwa hawataki Mbowe atoke bali Mbowe mwenyewe alisema hataki kutoka kwa kuomba msamaha wakati hana kosa.

Wengi wakasema pia ni aheri kesi iendelee kuliko kuomba msamaha wakati wewe unayeambiwa uombe msamaha ndiye uliyestahili kuombwa msamaha. La sivyo ni aheri kesi iendelee ili hawa majuha na mahakama yao ya mchongo wazidi kuumbuka.
 
Sasa mnachanganya hamueleweki.
Zito alimuombea msamaha mkasema zito mnafiki.
Ila Mimi nilikuwa upande wa zito.
JELA SIO KUZURI.ila wenye mwenyekiti wenu mlipinga mkataka mahakama iamue.
Basi tuache mahakama iamue Ila mkae mkijua siku zinaenda
Anatakiwa akiri kosa la kufanya ugaidi na aahidi kutorudia kosa, aombe msamaha. Na unapoomba msamaha siyo lazima ukubaliwe
 
Back
Top Bottom