Tetesi: Kuna uwezekano wa DPP Kufuta kesi ya Mbowe na wenzake Leo

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,271
9,900
Kumekuwa na Tetesi toka vyanzo mbali mbali kuwa kesi ya Mbowe na Wenzake huenda ikafutwa leo.

Kwa Mujibu waTwitter wa Reporter Mpambanaji ambaye amekuwa akireport kesi hii bila kuchoka toka awali Martin Maranja Masese amesema nanukuu

" Leo kunaweza kuwa na Habari Njema wote tukasome Wagalatia 3:26-28"

Kumekuwa na taarifa kadhaa zikisema kumekuwa na jitihada za baadh ya viongozi waandamizi wastaafu, Viongozi wa Dini ambao wamekuwa wakimuomba Mama Samia kiutaka ofisibya DPP kufuta kesi hiyo.

Mbali ya viongozi hao kwa wale wanaofuatilia mwenendo mzima wa kesi hiyo ni dhahiri kuwa Mashahidi wanekuwa dhaifu sana kwenye ushahidi wao kiasi ambacho Mawakili wasomi wengi wamesema kwa kesi ya Ugaidi hakuna ushahidi wa maana mpaka sasa unaweza kuwatua watuhumiwa hatuani pamoja mpka sasa zaidi ya mashahidi kumi (11) wameshatoa ushadi wao.

Pia kuna watu wengi wamekuwa wakiita kesi hii ni ya Mchongo kutokana na mwenendo mzima wa ushahidi unatolewa mahakani hapo.

Niwatakie siku njema, Twendeni mahakani.

Screenshot_20220126-074953.png


Screenshot_20220126-075125.png


Screenshot_20220126-081322.png
 
... hii kesi ni muhimu sana katika uga wa kisiasa na kisheria Tanzania na Commonwealth kwa ujumla wake. Ni muhimu iendelee hadi mwisho mahakama itoe hukumu ili iwe rejea kwa vizazi vijavyo kwa kesi za kipumbavu kama hii!
 
Kumekuwa na Tetesi toka vyanzo mbali mbali kuwa kesi ya Mbowe na Wenzake huenda ikafutwa leo.

Kwa Mujibu waTwitter wa Reporter Mpambanaji ambaye amekuwa akireport kesi hii bila kuchoka toka awali Martin Maranja Masese amesema nanukuu

" Leo kunaweza kuwa na Habari Njema wote tukasome Wagalatia 3:26-28"

Kumekuwa na taarifa kadhaa zikisema kumekuwa na jitihada za baadh ya viongozi waandamizi wastaafu, Viongozi wa Dini ambao wamekuwa wakimuomba Mama Samia kiutaka ofisibya DPP kufuta kesi hiyo.

Mbali ya viongozi hao kwa wale wanaofuatilia mwenendo mzima wa kesi hiyo ni dhahiri kuwa Mashahidi wanekuwa dhaifu sana kwenye ushahidi wao kiasi ambacho Mawakili wasomi wengi wamesema kwa kesi ya Ugaidi hakuna ushahidi wa maana mpaka sasa unaweza kuwatua watuhumiwa hatuani pamoja mpka sasa zaidi ya mashahidi kumi (11) wameshatoa ushadi wao.

Pia kuna watu wengi wamekuwa wakiita kesi hii ni ya Mchongo kutokana na mwenendo mzima wa ushahidi unatolewa mahakani hapo.

Niwatakie siku njema, Twendeni mahakani.

View attachment 2095917

View attachment 2095918

View attachment 2095926
Umeshaharibu,ungekaa kimya uenda ingetokea kweli lakini kwa kuandika hapa lazima wakuprove wrong ivyo hatoachiwa leo wala kesho
 
Hizi siku za karibuni naona chui jike keshaanza kusthtuka anaonekana kituko kila mahali. Naona keshaanza kujirekebisha kwanzia machinga nk.
 
Itakuwa vema kama hii kesi itatupwa mbali , Haina afya kwa wananchi na taifa, mana huo ugaidi hatuuoni. Mbowe sio gaidi.
... halafu wanakwambia hakuna fidia wala nini! Kielelezo bora kabisa namna gani watawala wanaweza kutumia vyombo vya dola kunyanyasa wasio na hatia! Miezi mingapi watu wako ndani kwa kesi ya kutunga; hii ni kashfa!
 
Wamwachie tuje kulipua visima vya mafuta, tukate miti tufunge barabara na tushambulie viongozi wakubwa... WAMWACHIE GAIDI WETU TUTAISHI NAYE TU.
 
Sasa mashahidi wameshaulizwa kama sehemu yoyote wamewahi kusikia watuhumiwa wakipanga kutenda ugaidi..wote wamesema hapana. Kuna kesi gani hapo ya ugaidi? Nimekuja kujua watu wengi wa serikalini ni vilaza... huwezi kusuka kesi kama hii huku huna voice note au msg zozote zinazoonyesha watu wanapanga ugaidi
 
Umeshaharibu,ungekaa kimya uenda ingetokea kweli lakini kwa kuandika hapa lazima wakuprove wrong ivyo hatoachiwa leo wala kesho
Hukumu ya ubunge wa Lema mbona tuliipata hapa JF siku mbili kabla ya tarehe?

Hata hili la DPP usidhani ni yeye ndio anatype documents.

Kama kuna Nole porecu haiwezi kubadilika ni process tu.
 
Ni vyema na walioifungua wafikishwe mahakaman kwa matumizi mabaya ya hela za umma
 
Ni vyema na walioifungua wafikishwe mahakaman kwa matumizi mabaya ya hela za umma
... walivyo wapuuzi katika kujikosha wanaweza kuwaachia then hapo nje wakawakamata tena na kuwafungulia mashtaka ya madawa ya kulevya na kupatikana na silaha kinyume cha sheria. Tumekosa hekima na busara kabisa.
 
Wacha iendelee ili sisi wananchi tuendelee kuona nyeti za mashahidi wa mchongo na wale wanaotuma.
Mawakili wa upande wa utetezi waendelee kuwavua nguo hao wenye divisheni iii ya point 21 (A Level) hadi watoto wao wawakatae
 
Sasa wakiifuta tutapata wapi burudani ya maswali ya mawakili wa utetezi kipindi bora kwa sasa hapa Tz, acha iendelee Mkuu ingawa mpk sasa hakuna aliyetoa ushahidi kuwa kuna ugaidi wala element za ugaidi
 
Kati ya vitu vinavyothibitosha tina wafalme JUHA ni hii kesi.

Hata kama ukiwa na kiongosi mwenye dhamira mbaya kiasi gani, lakini akiwa na akili japo kidogo sana, hawezi kukubali Serikali yake iendeshe kesi kama hii maana unakuharibia kuliko kukujenga.

Kesi hii ndiyo iliyowafumbua watanzania wengi kutambua kuwa:

Tuna kiongozi ibilisi

Tuna jeshi la polisi ambalo ni syndicate ya ujambazi

Tuna mahakama za hovyo zinazoingiliwa na serikali

Tuna Rais mchongo anayegawa rushwa za vyeo katikati ya kesi.

Japo Freeman Mbowe anateseka, lakini kesi hii imewasaidia sana Watanzania kuutambua uchafu wa mtawala, uchafu wa uongozi wa polisi, uchafu wa jeshi la polisi , uchafu wa mahakama, na kuwajua kwa majina na sura akina Kingai, Goodluck, Mahita na Jumanne ambao ndio walikuwa vinara katika kuwateka, kuwatesa, kuwapoteza na hata kuua watu ambao hawakuwa na kosa bali waliokuwa wanawakosoa watawala. Bila ya hii kesi haya mauaji na matekaji tusingeyajua.
 
Back
Top Bottom