Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kibiashara Kuna Dalili za Bandari ya Mombasa kuteka Biashara Afrika Mashariki katika kipindi hiki Cha Korona. Hii ni message Museven anatutumia.
Natamani kusikia mipango ya Waziri wa Fedha na Waziri wa Biashara. Natamani wakae pamoja na Mkuu wa Mkoa wa DSM watengeneze mkakati maalumu wa madereva wetu wanaosafirisha mizigo.
Museven anatupenda Sana.
Ole Mushi
0712702602.
Natamani kusikia mipango ya Waziri wa Fedha na Waziri wa Biashara. Natamani wakae pamoja na Mkuu wa Mkoa wa DSM watengeneze mkakati maalumu wa madereva wetu wanaosafirisha mizigo.
Museven anatupenda Sana.
Ole Mushi
0712702602.