E Elie zer Member Sep 20, 2021 74 67 Oct 22, 2021 #1 Hivi kuna utaratibu wowote unaotumika wakati wa ulipaji ada chuo kwa wale tuliopata asilimia chache za mkopo? Kwani huwa kuna deadline??! Nawasilisha!!
Hivi kuna utaratibu wowote unaotumika wakati wa ulipaji ada chuo kwa wale tuliopata asilimia chache za mkopo? Kwani huwa kuna deadline??! Nawasilisha!!
BoManganese JF-Expert Member Jun 10, 2017 979 2,666 Oct 22, 2021 #2 Ungeenda kuulizia katika chuo ulicho dahiliwa ungepata majibu ya uhakika sana
Tyrex JF-Expert Member Oct 15, 2012 2,274 4,692 Oct 22, 2021 #3 Kwanza Uko Chuo gani? Na je umejaribu kufatilia utaratibu wa Chuo husika kuhusu ulipwaji wa Ada n.k au umekimbilia Moja kwa moja Huku?
Kwanza Uko Chuo gani? Na je umejaribu kufatilia utaratibu wa Chuo husika kuhusu ulipwaji wa Ada n.k au umekimbilia Moja kwa moja Huku?
M Michael chris New Member Oct 21, 2021 1 1 Nov 25, 2021 #4 Nenda chuo husika ulichochaguliwa waulize