Kuna utaratibu gani na upimaji Corona?

Fundisanifu

JF-Expert Member
Nov 3, 2016
515
625
Habarini wanajamvi wote humu.

Nachukua fursa hii kuandika hapa maana nmesikitishwa na kuumia na kilichonitokea jumatatu! (27.04.2020)

Mimi ni staff wa afya na ninafanyia shughuli zangu dsm. Tangu wiki iliyopita nimekuwa nikisumbuliwa na muwasho flani kooni uliodevelop mpaka nikaanza kukohoa na sijawahi kupata kikohozi cha namna hii. Jumapili hali yangu imeanza kubadilika kwa homa ya kuja na kuondoka, nikawa najichunguza mwenyewe kama ni huu ugonjwa wetu umenipata!.

Jumatatu asubuh hali yangu ikabadilika na kuanza kupatwa headache na kizunguzungu severe ikabidi nitoke kazini kwangu na kwenda AMANA HOSPITAL ili nipate kuchunguzwa maana hali haikuwa hali kabisa ukizingatia mazingira yangu ya kazi ni kudeal na wagonjwa tofauti tofauti, hivo kuna risk ya kuwa nilipata contamination nikawa exposed

Nimefika Amana majira ya saa 9½ nkazuiliwa na walinzi kuwa mpaka nipate kibali kutoka mnazi mmoja,(hapa naomba kuuliza kama huu ndo utaratibu rasmi).. nimefika Mnazi Mmoja wamenichek joto muda huo lilikuwa limerud stable, ila kizunguzungu kichwa na kukohoa ndo vilikuwa bado pale mapokezi nikaambiwa kuwa kama nataka kucheki COVID-19 basi niende PLADU hospital iko buguruni!!(hivi huu ndo utaratibu uliopo!?) plus hii pladu hospital mbona sijawahi hata kuisikia!?

Nilibaki na maswali mengi ukijumlisha hali yangu ilikuwa mbaya muda huo na niko mwenyewe, nikakata tamaa kabisa kuwa siwezi kuendelea kuzunguka na kurudi nyumbani, .. maamuzi niliyochukua ni ya kujitibu mwenyewe symptomatically mpaka sasa nipo ghetto naendelea vizuri kidogo kiasi cha kuweza kuandika hii habari!.

Nimesikia kuhusu kujifukiza na tiba asilia mwenye uzoefu naomba anifahamishe recipe nitatumia.

Pia naombeni kuuliza hivi hii ndo PROTOCOL iliyopo!? Au ni kufanyiana makusudi, maana nimeumia sana ila sikuwa na namna!.

Mwisho naomba hili swala liangaliwe na serikali vizuri.. vinginevyo bora tukae tu majumbani tuhangaike na tiba asilia maana kwa mtindo huu inaonesha jinsi gani hizi HOSPITAL zilizowekwa maalumu kwa CORONA hazina faida (tija).. mimi pia ni staff wa afya ila this is too much ndo mana nimeamua kuliwasilisha huku!.

Alasiri njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku tunasema hapa kuwa kwa hili la Corona Tanzania hatuna serekali ila kuna mbumbumbu bado hawaelewi. Natabiri hapa kuwa kuna kipindi kitafika watu wataogopa kutoka ndani kwa sababu ya kuogopa maiti zilizotapakaa mitaani!Just imagine ishu ndogo kabisa ya kupima Corona Tanzania ni haiwezekani, yaani kama unajisikia ovyo ukitaka kupima Corona ni kuzungushwa!
 
Kila siku tunasema hapa kuwa kwa hili la Corona Tanzania hatuna serekali ila kuna mbumbumbu bado hawaelewi. Natabiri hapa kuwa kuna kipindi kitafika watu wataogopa kutoka ndani kwa sababu ya kuogopa maiti zilizotapakaa mitaani!Just imagine ishu ndogo kabisa ya kupima Corona Tanzania ni haiwezekani, yaani kama unajisikia ovyo ukitaka kupima Corona ni kuzungushwa!
kiukweli mkuu inasikitisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ni staff wa afya na unajua a b c za hospital na bado unahangaika hivyo je mtu tu muuza vitumbua huku malamba mawili na sehemu nyingine za uswahilini itakuaje ? ila fresh tu wapigie simu walizotoa ili wakupe utaratibu ukiona mambo yanaenda hovyo basi hakuna namna mrudie muumba wako utubu basi watakuzika
 
Pole ndugu!
Hebu jaribu hii kama itafaa.
1. Kujifukiza: Majani ya mkarafuu, mpera na mafukuza mbu.
2. Kupunguza muwasho na chafya: Tumia black seed oil, kunywa na paka puani.
3. Kukohoa na maumivu ya kifua: Tumia dawa ya mafua na pumu.
4. Kupunguza uchovu na rangi ya njano kwenye mkojo: Tumia dawa za manjano hata black jack itafaa.
5. Homa: Tumia panado.
6. Hamu ya kula: Tumia chai ya tangawizi, vitunguu swaumu, karufuu na limao.
7. Kunywa maji ya kutosha na chakula cha kushiba.
8. Sali, sali, sali.
9. Lala muda wa kutosha.
10. Jikinge usiambukizwe tena na wakinge wengine.
 
Pole ndugu!
Hebu jaribu hii kama itafaa.
1. Kujifukiza: Majani ya mkarafuu, mpera na mafukuza mbu.
2. Kupunguza muwasho na chafya: Tumia black seed oil, kunywa na paka puani.
3. Kukohoa na maumivu ya kifua: Tumia dawa ya mafua na pumu.
4. Kupunguza uchovu na rangi ya njano kwenye mkojo: Tumia dawa za manjano hata black jack itafaa.
5. Homa: Tumia panado.
6. Hamu ya kula: Tumia chai ya tangawizi, vitunguu swaumu, karufuu na limao.
7. Kunywa maji ya kutosha na chakula cha kushiba.
8. Sali, sali, sali.
9. Lala muda wa kutosha.
10. Jikinge usiambukizwe tena na wakinge wengine.
Haya mambo ya kujifukiza siyo tiba na yanaua mapafu. Taifa lisilowekeza kwenye tafiti, sayansi na technologia watu wake hawataweza kuishi!
 
Kila siku tunasema hapa kuwa kwa hili la Corona Tanzania hatuna serekali ila kuna mbumbumbu bado hawaelewi. Natabiri hapa kuwa kuna kipindi kitafika watu wataogopa kutoka ndani kwa sababu ya kuogopa maiti zilizotapakaa mitaani!Just imagine ishu ndogo kabisa ya kupima Corona Tanzania ni haiwezekani, yaani kama unajisikia ovyo ukitaka kupima Corona ni kuzungushwa!
Upimaji wa korona umeiacha sirikali yetu uchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wanajamvi wote humu.

Nachukua fursa hii kuandika hapa maana nmesikitishwa na kuumia na kilichonitokea jumatatu! (27.04.2020)

Mimi ni staff wa afya na ninafanyia shughuli zangu dsm. Tangu wiki iliyopita nimekuwa nikisumbuliwa na muwasho flani kooni uliodevelop mpaka nikaanza kukohoa na sijawahi kupata kikohozi cha namna hii. Jumapili hali yangu imeanza kubadilika kwa homa ya kuja na kuondoka, nikawa najichunguza mwenyewe kama ni huu ugonjwa wetu umenipata!.

Jumatatu asubuh hali yangu ikabadilika na kuanza kupatwa headache na kizunguzungu severe ikabidi nitoke kazini kwangu na kwenda AMANA HOSPITAL ili nipate kuchunguzwa maana hali haikuwa hali kabisa ukizingatia mazingira yangu ya kazi ni kudeal na wagonjwa tofauti tofauti, hivo kuna risk ya kuwa nilipata contamination nikawa exposed

Nimefika Amana majira ya saa 9½ nkazuiliwa na walinzi kuwa mpaka nipate kibali kutoka mnazi mmoja,(hapa naomba kuuliza kama huu ndo utaratibu rasmi).. nimefika Mnazi Mmoja wamenichek joto muda huo lilikuwa limerud stable, ila kizunguzungu kichwa na kukohoa ndo vilikuwa bado pale mapokezi nikaambiwa kuwa kama nataka kucheki COVID-19 basi niende PLADU hospital iko buguruni!!(hivi huu ndo utaratibu uliopo!?) plus hii pladu hospital mbona sijawahi hata kuisikia!?

Nilibaki na maswali mengi ukijumlisha hali yangu ilikuwa mbaya muda huo na niko mwenyewe, nikakata tamaa kabisa kuwa siwezi kuendelea kuzunguka na kurudi nyumbani, .. maamuzi niliyochukua ni ya kujitibu mwenyewe symptomatically mpaka sasa nipo ghetto naendelea vizuri kidogo kiasi cha kuweza kuandika hii habari!.

Nimesikia kuhusu kujifukiza na tiba asilia mwenye uzoefu naomba anifahamishe recipe nitatumia.

Pia naombeni kuuliza hivi hii ndo PROTOCOL iliyopo!? Au ni kufanyiana makusudi, maana nimeumia sana ila sikuwa na namna!.

Mwisho naomba hili swala liangaliwe na serikali vizuri.. vinginevyo bora tukae tu majumbani tuhangaike na tiba asilia maana kwa mtindo huu inaonesha jinsi gani hizi HOSPITAL zilizowekwa maalumu kwa CORONA hazina faida (tija).. mimi pia ni staff wa afya ila this is too much ndo mana nimeamua kuliwasilisha huku!.

Alasiri njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kutoalala fanya mazoezi ndani maana inasemekana ukilala unajisikia unapata afadhari kumbe ndo unakufa ukifanya mazoezi ukawa active uanhisi unataka kufa mpaka unaweza kutapika kumbe ndipo mapafu yanafanya kazi na kupata ahueni baadae na mwili kujenga immune
 
Pole ndugu!
Hebu jaribu hii kama itafaa.
1. Kujifukiza: Majani ya mkarafuu, mpera na mafukuza mbu.
2. Kupunguza muwasho na chafya: Tumia black seed oil, kunywa na paka puani.
3. Kukohoa na maumivu ya kifua: Tumia dawa ya mafua na pumu.
4. Kupunguza uchovu na rangi ya njano kwenye mkojo: Tumia dawa za manjano hata black jack itafaa.
5. Homa: Tumia panado.
6. Hamu ya kula: Tumia chai ya tangawizi, vitunguu swaumu, karufuu na limao.
7. Kunywa maji ya kutosha na chakula cha kushiba.
8. Sali, sali, sali.
9. Lala muda wa kutosha.
10. Jikinge usiambukizwe tena na wakinge wengine.
usisahau kunywa chai ya limao na kusukutua medioral

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masahibu yote mabaya na speed ya waliobukizwa kuondokana kuja juu ghafla ata 500% Toka 9 mpaka 480 ni sababu hakuna centres za kupimia Covid nyingi.

Nashauri maabara Kama Lancet, Aghakhan, Bosch,lugalo, kimara wapewe vifaa vya kupimia. Kasi ya Upimaji yetu no zero hata kwenye takwimu za dunia sababu hakuna sehemu za kupimia.

Bashite alizitaja centre 24 kwa ajili ya kupoea washukiwa walioambukizwa covid lakini hakuna hata moja inayopima na kutoa majibu. Kingine Cha kushangaza ukipimwa unajibiwa kwa mdomo bila kupewa Cheti chochote kukiri kwamba ni positive. Kuna mkanganyiko mkubwa baada ya kuonesha dalili na kulazimishwa kuwekwa karantini bila kipimo halisi.

Hali inayopelekea hata Kama ulikuwa hujapata covid unachanganywa na waginjwa wenye covid na wewe unapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ni staff wa afya na unajua a b c za hospital na bado unahangaika hivyo je mtu tu muuza vitumbua huku malamba mawili na sehemu nyingine za uswahilini itakuaje ? ila fresh tu wapigie simu walizotoa ili wakupe utaratibu ukiona mambo yanaenda hovyo basi hakuna namna mrudie muumba wako utubu basi watakuzika
mkuu simu nlipga na haikupokelewa, badae tna nmba ilikua busy!. mpka nlikata tamaa!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukrani mkuu baadhi nmeanza kuyafanyia kazi
Pole ndugu!
Hebu jaribu hii kama itafaa.
1. Kujifukiza: Majani ya mkarafuu, mpera na mafukuza mbu.
2. Kupunguza muwasho na chafya: Tumia black seed oil, kunywa na paka puani.
3. Kukohoa na maumivu ya kifua: Tumia dawa ya mafua na pumu.
4. Kupunguza uchovu na rangi ya njano kwenye mkojo: Tumia dawa za manjano hata black jack itafaa.
5. Homa: Tumia panado.
6. Hamu ya kula: Tumia chai ya tangawizi, vitunguu swaumu, karufuu na limao.
7. Kunywa maji ya kutosha na chakula cha kushiba.
8. Sali, sali, sali.
9. Lala muda wa kutosha.
10. Jikinge usiambukizwe tena na wakinge wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole ndugu!
Hebu jaribu hii kama itafaa.
1. Kujifukiza: Majani ya mkarafuu, mpera na mafukuza mbu.
2. Kupunguza muwasho na chafya: Tumia black seed oil, kunywa na paka puani.
3. Kukohoa na maumivu ya kifua: Tumia dawa ya mafua na pumu.
4. Kupunguza uchovu na rangi ya njano kwenye mkojo: Tumia dawa za manjano hata black jack itafaa.
5. Homa: Tumia panado.
6. Hamu ya kula: Tumia chai ya tangawizi, vitunguu swaumu, karufuu na limao.
7. Kunywa maji ya kutosha na chakula cha kushiba.
8. Sali, sali, sali.
9. Lala muda wa kutosha.
10. Jikinge usiambukizwe tena na wakinge wengine.
kulala naskia siyo tiba ni kifo
 
Back
Top Bottom