Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ile aquarium unayotaka kunihonga yenye urefu wa 68 inches?
Utadoda mwaka huu,lol
Hahaha naona Paw amekuteka kwa sasa,ila jua tu nikilala unakuja kwenye ndoto yangu,kama samaki wawili tukiogelea pamoja,kwako mi ndo mgonjwa sugu na wewe ndo tabibu aliyekubuhu,njoo nikupe penzi tam lenye vitamini D kama jua la mawio,nataka nikupe penzi mpaka uje useme "umenipa ila sikutosheka Excy"...Njoo nikupe penzi nikupeleke kwenye matawi wanakoishi viota vya tai,hakuna atakayetuyumbisha penzi letu litakuwa ngumu kama formula ya pai,njoo nikupe penzi na uniite mwasisi,wahuni wakija tuwatimue kwa mbio za farasi,Nakupenda King'asti au kwa vile mi mmang'ati.
Hivi hapa tuko wapi?
Kwenye life hii:A S-heart-2aw:A S-heart-2: kaniteka haswaa, kichwa, mabega, magoti hadi mabawa.
labda usubiri kwenye after life. Au nikifa nikarudi kama nyau hivi
Ingawa penzi unalolipa ni kamari but najua ipo siku utasema Excy nipo 100% ndani yako
Hehehe, yaani ukimtaja ndo :mwaaah::mwaaah: Zinazidi. Chezeiya mahari ya punda 300!hivi huyo mtu amekupa nini hasa?
unanionea jamani,moyo wangu unadunda duh duh duh,kisa nini unionee hivo?
teh teh teh kweli Paw noma,hata reply anajibu yeye?
ahahahahhahahaaaaa loh