chagga gang
Member
- Aug 21, 2021
- 62
- 34
Wakuu,
Kuna thread nimeona inaeleza usawa kati ya waliosoma gvt na pvt katika kupata mkopo
Hapana kabisa, najua watu wanaolipia watoto wao kwa mwaka mmoja 2m-m5 kuanzia nursery had advance ndo uje kusema wana haki ya kupata mkopo wa 1.2 -2.0mil ya chuo kikuu? How comes
Wale yatima na kaya maskini wengi wao wamesoma gvt tena kwa kuungaunga wanastahili 100% ya mkopo
Unakuta mtu ni yatima na death certificate ameambatanisha kabisa
Lakini bado unakuta
Bs-0
Fpt-0
Tf kapata 700,000 na ada ni 1.5mil
Sfr-0
Inauma sana
Serikali ya sasa haijali utu na hali ya mnyonge, ila inaangalia wapi tupige pesa.
Bora nasema bora ya utawala wa marehemu magufuli.
Mungu ampumzishe kwa amani kwa sababu alisimamia haki na kila kitu kilinyooka.
Shame on this government
Kuna thread nimeona inaeleza usawa kati ya waliosoma gvt na pvt katika kupata mkopo
Hapana kabisa, najua watu wanaolipia watoto wao kwa mwaka mmoja 2m-m5 kuanzia nursery had advance ndo uje kusema wana haki ya kupata mkopo wa 1.2 -2.0mil ya chuo kikuu? How comes
Wale yatima na kaya maskini wengi wao wamesoma gvt tena kwa kuungaunga wanastahili 100% ya mkopo
Unakuta mtu ni yatima na death certificate ameambatanisha kabisa
Lakini bado unakuta
Bs-0
Fpt-0
Tf kapata 700,000 na ada ni 1.5mil
Sfr-0
Inauma sana
Serikali ya sasa haijali utu na hali ya mnyonge, ila inaangalia wapi tupige pesa.
Bora nasema bora ya utawala wa marehemu magufuli.
Mungu ampumzishe kwa amani kwa sababu alisimamia haki na kila kitu kilinyooka.
Shame on this government