- Thread starter
- #21
Umenena vizuri Mkuu..AhsanteKwa sheria ya kiislamu hiyo hairuhusiwi nadhani hata kwa mafundisho ya kikristo pia hairuhusiwi kama wapo wajuzi watufahamishe.
Msichana na mvulana mzizoeana kwa karibu sana hata ladha ya ndoa hupungua sana na mara nyingi mara baada ya kufunga ndoa ndoa za aina hiyo huwa hazidumu sana.
Ni imani yangu kuwa wewe ni Kiongozi