Tetesi: Kuna unyanyasaji wa wanafunzi Kazima Sekondari - Tabora?

Status
Not open for further replies.

Blank page

JF-Expert Member
May 28, 2015
4,728
3,172
Habari za muda wakuu?

Napata habari mbaya na malalamiko kutoka kwa mwanafunzi ambaye anasoma kidato cha tano shule ya sekondari Kazima mkoani Tabora, kuwa kuna unyanyasaji wa hali ya juu.

Moja, ni watoto wa kike kuadhibiwa makalioni.

Pili, kugharamia masomo ya jioni kwa baadhi ya topics ambazo hazifundishwi darasani.

Tatu, ni kuhuusu mavazi. Nasikia mara kwa mara wanafunzi wanaambiwa wabadilishe ushonaji wa hizo nguo bila sababu za msingi.

Naomba kama kuna mtu kasikia hizi taarifa pia athibitishe hapa jukwaani au kwa wazazi mlio na wanafunzi shuleni hapo pia, naomba kujua watoto wenu wanasema vipi kuhusu haya niliyotaja tafadhali.

Pia, kama kuna mwalimu jirani au wa shule hiyo jukwaani tafadhali aseme lolote.
 
Makalio ni salama zaidi katika muktadha wa adhabu za viboko ukilinganisha na sehemu zingine mwilini kwa wanafunzi.

Viboko au fimbo za mkononi pia hutumika ingawa adhabu inaweza ikasababisha madhara kwa mikono kama umakini usipozingatiwa kati ya mtoa adhabu na anayeadhibiwa.

Mjenge binti yako atambue kuwa adhabu au viboko shuleni ni sehemu ya maisha, ajiepushe kuvunja sheria na azingatie kanuni na taratibu kuepuka usumbufu.

Fanyia kazi malalamiko yake kama hakuna mambo binafi ya unyanyasaji wa kijinsia, kingono au dalili binti kuonewa, mwambie akomae na shule tu
 
Adhabu ipo kama moja ya negative reward. Sasa kama hutaki wewe au mtoto wako kuadhibiwa makalioni pendekeza sehemu ambayo unaona inafaa. Ila aepuke makosa yanayopelekea kuadhibiwa.maana mtu akiwaambiwa usifanye hivi halafu akakaidi,atapigwa tu.maana hamna namna na sisi tunasema wacha apigwe.
 
Makalio ni salama zaidi katika muktadha wa adhabu za viboko ukilinganisha na sehemu zingine mwilini kwa wanafunzi.

Viboko au fimbo za mkononi pia hutumika ingawa adhabu inaweza ikasababisha madhara kwa mikono kama umakini usipozingatiwa kati ya mtoa adhabu na anayeadhibiwa.

Mjenge binti yako atambue kuwa adhabu au viboko shuleni ni sehemu ya maisha, ajiepushe kuvunja sheria na azingatie kanuni na taratibu kuepuka usumbufu.

Fanyia kazi malalamiko yake kama hakuna mambo binafi ya unyanyasaji wa kijinsia, kingono au dalili binti kuonewa, mwambie akomae na shule tu
thanks mkuu, nimekuelewa.
 
Adhabu ipo kama moja ya negative reward. Sasa kama hutaki wewe au mtoto wako kuadhibiwa makalioni pendekeza sehemu ambayo unaona inafaa. Ila aepuke makosa yanayopelekea kuadhibiwa.maana mtu akiwaambiwa usifanye hivi halafu akakaidi,atapigwa tu.maana hamna namna na sisi tunasema wacha apigwe.
inaweza kuwa sahihi mkuu, kama anafanya makosa nitamsihi aache.
 
Hapo hakuna unyanyasaji wowote kwa wanafunzi.ila huyo binti yako inaonekana hakubaliani na taratibu za hiyo shule.

Kuhusu kuchangia masomo,inawezekana somo husika halina mwalimu wa kuajiriwa hivyo shule inaweza ikawa imeomba mwalimu afundishe jion ,hivyo lazima achangiwe kidogo.

Kuhusu mavazi ni kawaida tu kubadiri na wahitaji wa hilo huwa ni wanafunzi

Kuhusu viboko makalion ,sheria za adhabu kwa tz bara mtoto wa kike anatakiwa kuchapwa mkononi (sababu ni kuepuka kupigwa kiunon,au akiwa period ped isije chomoka baada ya kiboko,pia kufunuka sket) kwa tz visiwan bakora ni makalion kwa watoto wote.

Mwambie bint yako asome aache ujinga,hapo shulen ana miaka miwili tu yakukaa
 
kqa kawaida makalio ya wanawake Ni malain Sana yakipigwa fimbo yanawawasha siku mbili au tatu kwa hiyo kero wanauopata Ni wakati wa kujikuna muwasho
 
Ngoja wamtegue mwanao kiuno halafu uje hapa utupe mrejesho
Makalio ni salama zaidi katika muktadha wa adhabu za viboko ukilinganisha na sehemu zingine mwilini kwa wanafunzi.

Viboko au fimbo za mkononi pia hutumika ingawa adhabu inaweza ikasababisha madhara kwa mikono kama umakini usipozingatiwa kati ya mtoa adhabu na anayeadhibiwa.

Mjenge binti yako atambue kuwa adhabu au viboko shuleni ni sehemu ya maisha, ajiepushe kuvunja sheria na azingatie kanuni na taratibu kuepuka usumbufu.

Fanyia kazi malalamiko yake kama hakuna mambo binafi ya unyanyasaji wa kijinsia, kingono au dalili binti kuonewa, mwambie akomae na shule tu
 
Adhabu zote zinakera lakini toa kikanuni usipofuata kanuni unaacha loop holes ambazo zitakufanya ushughulikiwe kikamilifu!!!
Mbona unaandika vitu visivyo eleweka! Nishughulikiwe kwa lipi? Hizo kanuni ndio zinasema adhabu haifai sababu inakera?
 
Ng'ombe wakiwekwa alama kama jina kwenye ngozi ,hupungua thamani pindi ngozi ikiuzwa. Makalio kwa mwanamke hupungua marks yakichapwa Na kuacha alama. Vita picha Dog.
 
Makalio ni salama zaidi katika muktadha wa adhabu za viboko ukilinganisha na sehemu zingine mwilini kwa wanafunzi.

Viboko au fimbo za mkononi pia hutumika ingawa adhabu inaweza ikasababisha madhara kwa mikono kama umakini usipozingatiwa kati ya mtoa adhabu na anayeadhibiwa.

Mjenge binti yako atambue kuwa adhabu au viboko shuleni ni sehemu ya maisha, ajiepushe kuvunja sheria na azingatie kanuni na taratibu kuepuka usumbufu.

Fanyia kazi malalamiko yake kama hakuna mambo binafi ya unyanyasaji wa kijinsia, kingono au dalili binti kuonewa, mwambie akomae na shule tu
kuna shule hata ukisema usivunje sheria fimbo utachapwa tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom