Kuna umuhimu yale mafunzo ya JKT yawe kwa lazima kwa kila mwananchi

DAT BOY SU

Member
Nov 15, 2017
29
30
Baada ya kupata uhuru hayati Baba wa Taifa Mwl Jk Nyerere alianzisha makambi ya JKT kwa vijana wanaomaliza chuo kikuu ama form six kujiunga na mafunzo haya kabla ya kuajiliwa Serikalini lengo lilikuwa mosi kuwafunza vijana hawa juu ya uzalendo kwa Taifa lao na kuipenda nchi yao kuliko kitu chochote, pili kujifunza stadi za maisha kama mafunzo ya kilimo, ufundi mbalimbali ili wanapomaliza mafunzo hya wapate kujiajili na tatu walijifunza NIDHAMU.

Hapa katikati haya mafunzo yalisitishwa kwa miaka kadhaa na matokeo yake yamekuwa sio mazur kwa taifa.
Athari zilizo jitokeza kutokna na kusitishwa kwa mafunzo hya ni pamoja na baadhi ya vijana wengi hasa wasomi waliopo serikalini, majumbani na wale walipo mavyuoni kukosa uzalendo kwa Taifa leo na kwa viongozi wao wa kitaifa kwa ujumla haya, mafunzo yamerudi tena lakini yapo ya aina mbili moja yale kwa mujibu wa sheria yaani vijana wanaomaliza kidato cha sita na yale ya kujitolea kutoka uraiani ila yote kwa pamoja hayatoi fursa ya kila kijana kutoka katika kundi lake kuhudhuria mafunzo haya ni watu wachache wamekuwa wakipata nafas hizo.

vijana inabid wapikwe na kupikika kwa ajili ya nchi yao, na wote kuungana kuitetea nchi yetu kwa pamoja. tukio lililojitokeza hivi karibuni ni ukosefu wa uzalendo kwa nchi kwa baadhi ya vijana mbya zaidi wengine ni viongozi wa vyama vya kisisa walijiingiza katika huo mkumbo pasina kujua wanadhima gani kwa Taifa na kuanza kueneza uvumi na uongo usio na faida yoyote ili kupata tu cheap popularity..
 
Mimi nilipitia jkt je pale kambini kuna somo gani la kuongeza uzalendo? Watu wanalia hali ngumu then unalazimisha watu wawe wazalendo.VIONGOZI WA NCHI HII WAFANYE YAO YOYOTE ILA MTAANI HII NJAA IPUNGUE KINYUME NA HAPO IPO SIKU WANYONGE WATANYONGA WATU.
 
Uzalendo hauletwi na JKT mkuu, uzalendo ni dhana pana. Yaliyotokea kama ulivyoyataja chanzo chake baadhi yanahitaji utafiti,mengine yako wazi. Raisi amekuwa NA bahati mbaya kwamba tangu aingie alikuta mifumo imejaa rushwa,pia alikuta serikali zilizomtarajia vijana walikuwa wakitoka vyuoni wanaajuriwa. Hasa kwenye sekta za elimu na afya. Sasa ajira za direct katika kozi zote hakuna. So wahitimu wanamuona kama adui badala ya kukubaliana na hali halisi. Pia,mazingira ya uendeshaji siasa( hasa za upinzani) yamekuwa magumu na wakati mwingine yakikabiliana na "Iron fist", so hayo ndo changamoto zinazopelekea uzalendo kutetereka. Vijana hawajamjua adui halisi,wanalaumu kila MTU.
Baada ya kupata uhuru hayati Baba wa Taifa Mwl Jk Nyerere alianzisha makambi ya JKT kwa vijana wanao maliza chuo kikuu ama form six kujiunga na mafunzo haya kabla ya kuajiliwa serikalini lengo lilikuwa mosi kuwafunza vijana hawa juu ya uzalendo kwa Taifa lao na kuipenda nchi yao kuliko kitu chochote, pili kujifunza stadi za maisha kama mafunzo ya kilimo, ufundi mbalimbali ili wanapomaliza mafunzo hya wapate kujiajili na tatu walijifunza NIDHAMU.
hapa katikati haya mafunzo yalisitishwa kwa miaka kadhaa na matokeo yake yamekuwa sio mazur kwa taifa.
Athari zilizo jitokeza kutokna na kusitishwa kwa mafunzo hya ni pamoja na baadhi ya vijana wengi hasa wasomi waliopo serikalini, majumbani na wale walipo mavyuoni kukosa UZALENDO kwa Taifa leo na kwa viongozi wao wakitaifa kwa ujumla haya, mafunzo yamerud tena lakin yapo ya aina mbili moja yale kwa mujibu wa sheria yaani vijana wanaomaliza kidato cha sita na yale ya kujitolea kutoka uraiani ila yote kwa pamoja hayatoi fursa ya kila kijna kutoka katika kundi lake kuhudhuria mafunzo haya ni watu wachache wamekuwa wakipata nafas hizo.
vijana inabid wapikwe na kupikika kwa ajili ya nchi yao, na wote kuungana kuitetea nchi yetu kwa pamoja. tukio lililojitokeza iv kalibuni ni ukosefu wa uzalendo kwa nchi kwa baadhi ya vijana mbya zaid wengine ni viongozi wa vyama vya kisisa walijiingiza katika huo mkumbo pasina kujua wanadhima gani kwa Taifa na kuanza kueneza uvum na uongo usio na faida yoyote ili kupata tu cheap popularity.
 
Zito Kabwe alienda JKT lakini ndio anaongoza kwa usaliti, EVARIST CHAHALI alikuwa usalama wa taifa kabisa lakini ndio msaliti wa kwanza. JKT haijengi uzalendo wowote
 
Baada ya kupata uhuru hayati Baba wa Taifa Mwl Jk Nyerere alianzisha makambi ya JKT kwa vijana wanaomaliza chuo kikuu ama form six kujiunga na mafunzo haya kabla ya kuajiliwa Serikalini lengo lilikuwa mosi kuwafunza vijana hawa juu ya uzalendo kwa Taifa lao na kuipenda nchi yao kuliko kitu chochote, pili kujifunza stadi za maisha kama mafunzo ya kilimo, ufundi mbalimbali ili wanapomaliza mafunzo hya wapate kujiajili na tatu walijifunza NIDHAMU.

Hapa katikati haya mafunzo yalisitishwa kwa miaka kadhaa na matokeo yake yamekuwa sio mazur kwa taifa.
Athari zilizo jitokeza kutokna na kusitishwa kwa mafunzo hya ni pamoja na baadhi ya vijana wengi hasa wasomi waliopo serikalini, majumbani na wale walipo mavyuoni kukosa uzalendo kwa Taifa leo na kwa viongozi wao wa kitaifa kwa ujumla haya, mafunzo yamerudi tena lakini yapo ya aina mbili moja yale kwa mujibu wa sheria yaani vijana wanaomaliza kidato cha sita na yale ya kujitolea kutoka uraiani ila yote kwa pamoja hayatoi fursa ya kila kijana kutoka katika kundi lake kuhudhuria mafunzo haya ni watu wachache wamekuwa wakipata nafas hizo.

vijana inabid wapikwe na kupikika kwa ajili ya nchi yao, na wote kuungana kuitetea nchi yetu kwa pamoja. tukio lililojitokeza hivi karibuni ni ukosefu wa uzalendo kwa nchi kwa baadhi ya vijana mbya zaidi wengine ni viongozi wa vyama vya kisisa walijiingiza katika huo mkumbo pasina kujua wanadhima gani kwa Taifa na kuanza kueneza uvumi na uongo usio na faida yoyote ili kupata tu cheap popularity..
Non sense hakuna uzalendo kwenye njaa.Ondoa njaa kwanza uzalendo utafata.
 
Pitisheni watu JKT msiwape ajira

mkabwe mitaaani hadi akili ziwakae sawa
 
Wao wanashiba wanafutuka wanasaza kwa kodi zetu ndani ya viyoyozi Sie jua letu mvua yetu njaa kali kesho yetu atuijui tumesomeshwa namba tumepigika balaa,huo uzalendo utoke wapi
 
Kupata nafas ya kujitolea tu mpaka kujuana jinsi walivyo na limited facilities hio proposal yako ni utopian
 
Baada ya kupata uhuru hayati Baba wa Taifa Mwl Jk Nyerere alianzisha makambi ya JKT kwa vijana wanaomaliza chuo kikuu ama form six kujiunga na mafunzo haya kabla ya kuajiliwa Serikalini lengo lilikuwa mosi kuwafunza vijana hawa juu ya uzalendo kwa Taifa lao na kuipenda nchi yao kuliko kitu chochote, pili kujifunza stadi za maisha kama mafunzo ya kilimo, ufundi mbalimbali ili wanapomaliza mafunzo hya wapate kujiajili na tatu walijifunza NIDHAMU.

Hapa katikati haya mafunzo yalisitishwa kwa miaka kadhaa na matokeo yake yamekuwa sio mazur kwa taifa.
Athari zilizo jitokeza kutokna na kusitishwa kwa mafunzo hya ni pamoja na baadhi ya vijana wengi hasa wasomi waliopo serikalini, majumbani na wale walipo mavyuoni kukosa uzalendo kwa Taifa leo na kwa viongozi wao wa kitaifa kwa ujumla haya, mafunzo yamerudi tena lakini yapo ya aina mbili moja yale kwa mujibu wa sheria yaani vijana wanaomaliza kidato cha sita na yale ya kujitolea kutoka uraiani ila yote kwa pamoja hayatoi fursa ya kila kijana kutoka katika kundi lake kuhudhuria mafunzo haya ni watu wachache wamekuwa wakipata nafas hizo.

vijana inabid wapikwe na kupikika kwa ajili ya nchi yao, na wote kuungana kuitetea nchi yetu kwa pamoja. tukio lililojitokeza hivi karibuni ni ukosefu wa uzalendo kwa nchi kwa baadhi ya vijana mbya zaidi wengine ni viongozi wa vyama vya kisisa walijiingiza katika huo mkumbo pasina kujua wanadhima gani kwa Taifa na kuanza kueneza uvumi na uongo usio na faida yoyote ili kupata tu cheap popularity..
kweli.......
 
Nadhan mawazo yako yatakuwa sawa kulingana na unachokiona na yanaweza yasiwe sawa kulingana na mimi nachokiona, kwa maana hiyo siwezi kukosoa na wewe pia. Nadhan uzalendo ni tunda ambalo sio la kulazimishiwa mtu. Ni kitu ambacho kinajengwa ndani ya mtu kwa kuona yanayotendeka taifani ni mema na ya kujivunia. Kinachojengwa ni utamaduni ambao kila mtu mmoja mmoja anajivunia kwa mazuri, na pale inapotokea kitu kibaya wote kwa upamoja tunahuzunika. Hiki kitu kinajengwa na hakilazimishwi, Elimu, kuanzia chekechea, mtoto anaanza kujengwa anaielewa nchi yake imetoka wapi, msingi, sekondari, hadi chuo. Huu mtiririko ni muhimu sana kwa maana kitu kimejengwa ndani yetu toka udogoni.
Juhudi za kujenga hichi kitu sio za siku moja kwa maana hiyo inatakiwa kila baada ya uchaguzi wanaoingia wanaendeleza yale mazuri, hapo ina maana kwamba kama ni policy, iweze kwenda hata miaka 25 na sio hii ya kila waziri, RC, DC mkurugenzi akiingia anataka abadilishe sera hii, ile continuity inakosa na kuna wengi tu ambao wnakuwa wamepotezwa maana waliaminishwa muelekeo ni huu hapa na leo amekuja mwengina akasema huko sio, huku ndio.
Hapo kwenye kuwapa watu mafunzo ya kijeshi napo nna wasi napo. Kwa sasa tunavyohangaishwa mitaani na vibaka, ingekuwaje kama hao vibaka wangekua na mafunzo ya kijeshi, pangekalika.
Mi nadhani serikali iwekeze zaidi kwenye kuelimisha watumishi wa umma na kuwaboreshea maslahi yao. Ni hao ndo wanasaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza chuki na kupunguza kujivunia kuwa mtanzania. Mfano juzi umeenda hospitali nesi akakupa makavu, polisi nao wakafanya yao, traffic ndo usiseme, mahakamani napo ukakutana na kitu hicho. Hata ungekuwa unajivunia nchi yako kuna mambo hautayakubali tu.
Kwa maana hiyo tuwekeze zaidi kwenye elimu na ni kutokea chekechea watoto waijue Tanzania na misingi yake.
 
Back
Top Bottom