Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,560
- 46,105
Kwa nini kwenye habari zetu au matukio mbalimbali kila mara tunapowataja viongozi au wanasiasa lazima tutangulize maneno ndugu, Mheshimwa, Komredi/kamaradi, kamanda, mzee n.k mbele ya majina yao?
Huu ni utamaduni, heshima, uungwana au mbwembwe zisizo na mantiki?
Huu ni utamaduni, heshima, uungwana au mbwembwe zisizo na mantiki?