johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,730
- 141,593
Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Niishie hapo tafadhali!
Ndo akili za ma-ccm,, kwenye msiba wanaleta siasaBinafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Duuuu nmeishia kutafakarHizo sare za ccm Kwenye misiba ni sherehe baada kutoana KAFARA nyie maccm ni zaidi ya shetani
Mbatia na familia yake wamechangia damu lakini hawajavaa jezi za UKAWA!Hizo sare za ccm Kwenye misiba ni sherehe baada kutoana KAFARA nyie maccm ni zaidi ya shetani
Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Unajua maana ya sare?Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Wengine hatukuwepo mubashara! Tupiapo kiambatanisho Cha picha, ndipo tuchangie madaBinafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Jenga tabia ya kufikiria jambo katika uhalisia wake,.. binafsi kwa maneno yako naona wewe ndio unaleta siasa katika janga la taifa.
Hahahaa.......kuna " umuhimu"?!!!Jenga tabia ya kufikiria jambo katika uhalisia wake,.. binafsi kwa maneno yako naona wewe ndio unaleta siasa katika janga la taifa.
Ndiyo tumefika hapo!Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Binafsi nimeshangazwa sana na wanasiasa wa Morogoro walivyojaribu kuingiza siasa kwenye msiba wa kitaifa.
Niishie hapo tafadhali!
Mbona msikitini au Kanisani hawavai?!Sorry kiongozi kuna uhusiano gani kuvaa hizo nguo na kuleta siasa msibani? Au hairuhusiwi kikatiba kufanya hivyo??
Mleta mada yuko specific kasema sare za vyama vya siasa, unaposema sare za jeshi ina maana hukumwelewa au.Unajua maana ya sare?
Chama cha walimu pia wangevaa sare zao ungesema wanaleta elimu kwenye msiba wa taifa.?
Au askari na scouts na sare zao pia walileta ujeshi kwenye msiba wa taifa.?
"Usiruhusu upepo uvume sambamba na uwezo wako wa kufikiri"