fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
Kuna umuhimu wa ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ? maana kila report inaonyesha wizi kwenye kila sector lakini sijawahi sikia watu wakishugulikiwa.....labda zita saidia mbeleni serikali itakapo kwenda upinzani au CCM ikibadilika....zinaweza kutumiwa kushugulikia wahujumu uchumi..lakini kwa sasa ofisi ya CAG inakula pesa za walipa kodi tu!