Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Kama huyu mmoja tu Ole Sangai amefanya ya kutisha hivyo , vipi kwa akina Poulo, Gambo, Muro, Humphrey na wengine wengi , wakifikishwa kwenye vyombo vya sheria si madudu mengi yatafahamika.
Zaidi itakuwa fundisho kwa wale ambao wakipewa madaraka kwao Yana geuka kuwa ulevi.
Zaidi itakuwa fundisho kwa wale ambao wakipewa madaraka kwao Yana geuka kuwa ulevi.