Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Kumekuwa na uwakilishi wa makundi mbalimbali Bungeni ila hili kundi la wana-diaspora limesahalika kabisa.
Wa-Tanzania hawa wanao litoa jasho lao ughaibuni wana issues zao nyingi tu ambazo wanataka zisikilizwe na kupatiwa ufumbuzi.
Ndio, kuna Mabalozi kwenye baadhi ya nchi lakini kuna baadhi ya issues zinahitaji attention ya Bunge.
Kwa kuwepo kwa muwakilishi wa special group hili bungeni kutasaidia kutatua changamoto zao na kuendelea kulijenga taifa from a distance by sending remittances back home.
Mchango katika kujenga uchumi ni mkubwa kwani sehemu kubwa ya kipato chao hutumwa nyumbani kuja kuendeleza uchumi wetu.
They love their country at heart and doubting their patriotism is a gross misconception.
Wa-Tanzania hawa wanao litoa jasho lao ughaibuni wana issues zao nyingi tu ambazo wanataka zisikilizwe na kupatiwa ufumbuzi.
Ndio, kuna Mabalozi kwenye baadhi ya nchi lakini kuna baadhi ya issues zinahitaji attention ya Bunge.
Kwa kuwepo kwa muwakilishi wa special group hili bungeni kutasaidia kutatua changamoto zao na kuendelea kulijenga taifa from a distance by sending remittances back home.
Mchango katika kujenga uchumi ni mkubwa kwani sehemu kubwa ya kipato chao hutumwa nyumbani kuja kuendeleza uchumi wetu.
They love their country at heart and doubting their patriotism is a gross misconception.