jackson rogart john
Member
- Feb 22, 2017
- 45
- 22
Kuna umuhimu wa kuwa na PC kwa masomo chuoni hasa koz za afya maana wengine hali zetu ngumu.
Kuna umuhimu wa kuwa na PC kwa masomo chuoni hasa koz za afya maana wengine hali zetu ngumu.
Hapana sio muhimu lakini ni lazima.Kuna umuhimu wa kuwa na PC kwa masomo chuoni hasa koz za afya maana wengine hali zetu ngumu.
Asante sana smartphone ipoKama hujafanikiwa kupata PC jitahidi smartphone..kinyume na hapo Disco nje nje
Ni muhimu kijana ila siyo kwamba usipokuwa nayo ndo utadisco au kusupp. Jipange taratibu kwa hako kaboom utanunua. All the best kijanaKuna umuhimu wa kuwa na PC kwa masomo chuoni hasa koz za afya maana wengine hali zetu ngumu.
Asante sanaNi muhimu kijana ila siyo kwamba usipokuwa nayo ndo utadisco au kusupp. Jipange taratibu kwa hako kaboom utanunua. All the best kijana
Mmmh smart phone itakuwa idia kwenye kusoma tu. How about kuandika Asaiment na mengineyo?Asante sana smartphone ipo
NitagongeaMmmh smart phone itakuwa idia kwenye kusoma tu. How about kuandika Asaiment na mengineyo?
Sawa manHakuna course isiyohitaji pc enzi hizi. Pigana uwezavyo usieje kuwa omba omba huko chuo