mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 414
- Thread starter
- #101
Nilifanya hivyo mkuu...na Sasa nafurahia maisha mpaka kitambi kimeanzaNilichojifunza na hata ukisoma hoja na comments nyingi za humu JF kwa sasa utagundua wengi ni vijana wa sasa wasiojitambua na wasio na msimamo katika maisha yao. Wengi wana "mentality ya kizungu na kitamthilia" kwani kuna vitu vingine kuviandika na kuomba ushauri kwa wengine ni aibu. Hilo suala kwa mwanaume na sio mvulana lilikuwa limeisha muda. Ni kupiga chini toka ulivyoanza tukanwa alafu kaka yake kukupiga beat. Suala la mtoto atamtafuta baba yake tu wala lisingekufanya kuwa mtumwa wa mwanamke.