mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 414
- Thread starter
- #81
Kwa kweli..Bora umejua mapema kabla hujaoa ,
Kwa kweli..Bora umejua mapema kabla hujaoa ,
Niteseke kwa lipi tena mie wakati nishaanzishs maisha yangu na mtu mwingine kabisa ambae atakuja kuwa my wifeMbona kama wewe ndo unateseka
Yani nilijikuta no where to run. ..Kila unapogeuka maneno huku maneno mhh...Inaonekana akili za wazazi plus kaka ni huyo bint yao ni moja, kwanza ingekua mm asingejaribu kunihisisha na kaka mtu, wangejuta mbona
Mtoto wamemkatalia...it's just like a plan of the family.Ushauri wangu, pamoja na yote aliyokutendea, usiache damu yako ikapotea! Rudi ujihakikishie ni damu yako 100% halafu itunze, ithamini, ijali na ukifika muda mchukue mwanao umlee mwenyewe! Usipende sana mwanao kulelewa na watu baki usiowajua!
Mtoto ni wa kike..Acha kumkumbuka mpumbavu huyo mtoto huyo n wa kiume au wa kike?Me naona kama hy tt akija kua mkubwa kubwa ufatilie uwe unatengeneza mahusian nay awe anakuita hata uncle ukiona kama kawa mkubwa umri wa balehe mweleze ukweli ww n babake... Kama n mtt wa kiume atarely san kwako... By ending damu yako isiende bure af mama yake hatakiw kujua ye awage anasikia nen uncle 2 lakn acje kuona...
Pole mkuu...mm sikujua Kama binti Yuko hivyo et..Haya majina ya Anneth ni changamoto..yuko mwenzake bugando hapo nishanasa makofi kwa ujinga ujinga wake wa kuleta drammar za kijinga
Ni mnyantuzu (bariadi na viunga vyake huko mkuu)Kama una uhakika wa Mtoto kuwa ni damu yako jitahidi kuwa karibu na huyo Binti huyo hata Kama ni kinafiki ili siku moja Mtoto apate uwepo wa Baba maishani mwake hasa akiwa ni Mtoto wa kike akikua bila malezi ya Baba atakuwa mtihani kwenye maisha ya watu wengine huko mbeleni .na huyo Binti ni kabila gani ?
Kuna baadhi ya makabila hauruhusiwi kutoka Mtoto Kama hautambuliki Kama mme wa Binti Yao .
Mkuu baada ya kuvunja mipaka nikatafuta Chaka jingine saivi napokea 370'k kwa month,Hapa tatizo ni hiyo kazi unayofanya ya kukuingizia 180k,ni pesa haitoshi hata kumsomesha Mtoto wa Kidato cha kwanza hata jitegemee secondary school ukikusanya hata kwa mwaka mzima,huyo Mwanamke alikuwa na nia nzuri ya kukupa gharama kubwa kuliko mshahara wako ili akili yako ikuwe ufikirie nje ya box kutafuta pesa zaidi!,mkuu kila mtu anakuja maishani mwako ili ujifunze kitu!
Wewe unakimbilia kulia lia hautatoka hapo ulipo
Sijalialia mkuu...yeye nilimwambia nalipwa laki na nusu ili nijue akili yake baads ya kusema she was after money.Hapa tatizo ni hiyo kazi unayofanya ya kukuingizia 180k,ni pesa haitoshi hata kumsomesha Mtoto wa Kidato cha kwanza hata jitegemee secondary school ukikusanya hata kwa mwaka mzima,huyo Mwanamke alikuwa na nia nzuri ya kukupa gharama kubwa kuliko mshahara wako ili akili yako ikuwe ufikirie nje ya box kutafuta pesa zaidi!,mkuu kila mtu anakuja maishani mwako ili ujifunze kitu!
Wewe unakimbilia kulia lia hautatoka hapo ulipo
Sio ujinga, nimeshare experience yangu mkuu. Si kwa ubayaSijui unataka muongozo gani, wakati she made it clear hataki chochote kwako zaidi ya pesa...
Punguza ujinga...
Yote hay yalinikumba mkuu...Yani.Sijui kwann mabinti wengi sahv wako hv
Kuna mjinga mmoja nilimpa ujauzito,vitenge vya kujifungulia naambiwa vinatakiwa viwe saba pair pair
Nguo za kulelea mimba tano,wakati zingine alikuwa nazo zinazofaa tu lakin akataka mpya
Kuhusu nguo za mtoto hataki zilizotumika,anataka mpya nazan ingekuwa hv hata zaman sjui hata kama baba zetu wangetoboa
Unaandaa jina,lakin anatoka kujifungua kachagua lake
Ndo maana vijana wengi siku hz hawataki kabisa kukaa na hz ngulu mbili
Wadada wengi siku hz wanataka kuishi maisha ya kishua wakati hata hawajui kuyatafuta na hata kwao hayapo
Vingine nilikuwa nishampatia, Kila ukimaliza anaongeza kingine ambacho hwkikuwa kwenye budget...alitaka kujilimbikizia pesa.Mbona umesahau chakula cha mzazi?
Jamaa yangu ulitakiwa ujiandae mapema sana kwenye hili.
Walau ungemkabidhi hata fungu kadhaaa kwa aji ya uzazi.
Nqkaribia mwaka sijawasiliana nae...na sitathubutu1. Mwanamke hakuheshimu.
2. Mwanamke hakupendi.
3. Mwanamke hakujali.
4. Mwanamke anawadharau wazazi wako.
Mwanamke anakuambia hakuwa na nia na wewe ila pesa zako, bado unabaki kubembeleza?
Mwanamke mkikorofishana anapeleka kesi kwa kaka kisha kaka yake ndiye anaye kufundisha jinsi ya kuishi naye??
Anyway, tuache yote hayo. Ngoja nikupe siri mkuu kuhusu hawa wanawake :-
Mwanamke akishakukubalia na kuwa tayari kufanya lolote na wewe, hiyo ni hatua ya kwanza ya safari.
Hatua ya pili, anza kujifunza vitu zaidi kumhusu, yaani msome kiundani mpaka ujue mapungufu yake na uimara wake ulipo.
Ukishamfamu, tengeneza mazingira ya mwanamke kukuona wa tofauti na wanaume wengine, yaani mtengenezee mazingira ya kukupenda wewe na kuonyesha kukuhitaji sana kuliko wewe mwanaume unavyomuhitaji.
Ishi naye kwa kumuonyesha uwe naye usiwe naye hakuna kitu utapoteza na mchukulie wa kawaida sana.
Lengo kuu, mfanye mwanamke akuone wewe ni mwanaume wa kipekee sana.
Ukifanikisha hayo, sasa unaweza kuendelea na hatua zingine.
KWASASA:
Mpotezee ikiwezekana block number kabisa na usimtafute Tena.
Wakitambua umuhimu wako hata wazazi wao watakutafuta, tofauti na hapo ni unajipa umuhimu kwenye maisha ya watu jambo ambalo kama MWANAUME hupaswi kulifanya.
Wanawake huwa wanatusoma mwanzoni kabisa tunapoanza nao mahusiano, hivyo usipomuwahi kumsoma na akakutangulia kukusoma na kujua madhaifu yako lazima atakuendesha.
Halafu tuepuke kuhusianisha kiwango cha Elimu ya mtu na busara aliyonayo.
Kuna watu wana PhD ila busara hawana hata kidogo, vitu vingine ni Malezi ya mtu, mazingira na watu alionao karibu ndivyo vinavyomfanya awe alivyo.
Sure kabisa...coz nilianza kujifanya Sina pesa akaanza kusema muombe baba yako akupatie..duuh nkasema hapa hamna kituMbuzi hula urefu wa kamba yake,ukilazmisha ndio unaskia mtu kawa tapeli au mwizi ili amfurahishe mpenzi au mke
Hapana Yani alikuwa Kama anatania..coz Ni katika story za hapa na pale kudadisi moja mbili hivi..TANGU ALIPOKWAMBIA "Hata chuoni nilikuwa nafanya hivyo hivyo tu...nyumbani hakuna atakayejali".
NA WEWE ULIVYOKUBALI KAMA BWEGE...
NDIPO NILIPOJIRIDHISHA WEWE NI BWEGE MTOZENI.
Hujashusha huyo mtoto anaweza sema anamtia nuksi ya kuolewa au kupata kazi na akaja mbwaga kwa babayako sijui utafanya nini?.jihesabie any thing may happen.Dah..nilivumilia tu nikijua Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.
Hatimaye mwaka Jana ikawa mwisho. Nilihisi nimeshusha gunia la misumali kwenye kichwa chenye upaa.
TANGU ALIPOKWAMBIA "Hata chuoni nilikuwa nafanya hivyo hivyo tu...nyumbani hakuna atakayejali".
NA WEWE ULIVYOKUBALI KAMA BWEGE...
NDIPO NILIPOJIRIDHISHA WEWE NI BWEGE MTOZENI.