scientist 08
Member
- Aug 8, 2017
- 66
- 39
Kwa kutumia mfano wa nchi kama Kenya wao wanaishia kidato cha nne na wanaingia vyuo vikuu na vyuo vya kawaida huku content zao karibia ni kama za kwetu na miaka ya vyuo vikuu ni kama yetu.
Kwa mfano aneyesoma uhandisi atasoma miaka 4 kama sisi je kwanini sisi tukawa na kidato cha tano na sita?
Anaeweza kuwa na faida ya huuu mfumo wa 7-4-2-4 na hasara za huu wa 8-4-4 unaotumiwa na kenya asaidie hapa
Kwa mfano aneyesoma uhandisi atasoma miaka 4 kama sisi je kwanini sisi tukawa na kidato cha tano na sita?
Anaeweza kuwa na faida ya huuu mfumo wa 7-4-2-4 na hasara za huu wa 8-4-4 unaotumiwa na kenya asaidie hapa