Ukifika Dar nitafute mkuuHaina shida mkuu. Usijali.
Ukifika Dar nitafute mkuu
UKIJA NAIROBI NITAFUTE
Kenya - palee Ever tone green kwenye Kona ya Methodist house km ni mwenyeji natumaini unapajua hapo, hata ukifika hapo tu wewe ulizia Mr Kizito.Hahah... Nairobi ya wapi mkuu?
Kenya - palee Ever tone green kwenye Kona ya Methodist house km ni mwenyeji natumaini unapajua hapo, hata ukifika hapo tu wewe ulizia Mr Kizito.
Kufifia kwa taa za gari kuna weza kusabibishwa na nn haswa. Na je unashughulikia hili swala pia? Kama ndio gharama zake zikoje mpka kurudisha gari iwe na mwanga mkali kwa ilipokua mpya?
Asante sana mkuu!! kwanini usiwe una toa siku kadhaa ndani ya week au weekend labda jumamosi na jumapili, kufanya consultation ya wateja wako wa Dar ambao nadhani ni wengi sana. Wenye matatizo ya umeme kwenye gari zao. Ukishafahamika itakua rahisi watu kujufata moro.Yes ninaweza kukupimia na kukurekebishia tatizo lako.
Ipo hivi, kufifia kwa mwanga wa taa husababishwa na matatizo kwenye charging system ya gari yako. Alternator ndiyo ambayo inahusika na suala la kucharge battery na pia ndio inahusika katika kuzalisha umeme ambao hutumika wakati umewasha gari yako...
Asante sana mkuu....kwanini usiwe una toa siku kadhaa ndani ya week au weekend labda jumamosi na jumapili, kufanya consultation ya wateja wako wa Dar ambao nadhani ni wengi sana. Wenye matatizo ya umeme kwenye gari zao. Ukishafahamika itakua rahisi watu kujufata moro.
Safi sana...maeneo gani?Mkuu haina shida... Kwa huko siku za mbeleni nimepanga kuwepo Dar kila inapofika weekend.
Safi sana...maeneo gani?
darasa zuri hili
Mkuu gari yangu ni cheser gx100, dashboard haisomi hivyo gia haziingii ipasavyo naomba mawasiliano yako nipo pwani kibaha,pia nahitaji unikagulie gari languKwanza kabisa naomba radhi kwa sababu thread kidogo ni ndefu. Lakini ni muhimu kuisoma kwa sababu inaweza ikaokoa gharama kubwa au hata kuokoa maisha yako.
Sasa tuendelee...
Mkuu gari yangu ni cheser gx100 ,dashboard haisomi hivyo gia haziingii ipasavyo naomba mawasiliano yako nipo pwani kibaha,pia nahitaji unikagulie gari langu