DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Haina haja ya kumuulizaKabila lako haliusini na wewe kuzaliwa mtwara. Mama yako ndo anahusiana na wewe kuzaliwa mtwara. Muulize vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina haja ya kumuulizaKabila lako haliusini na wewe kuzaliwa mtwara. Mama yako ndo anahusiana na wewe kuzaliwa mtwara. Muulize vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mtoa mada kauliza kada ya mahakamaHizo tunaziita demographic data, zinasaidia kujua ethnicity ya mtu na mtu.
Mfano, hospitali huwa kuna umuhimu wa kujua dini ya kila client ili kujua utatumia approach ipi kumuhudumia. Pia kuna dini haziruhusu baadhi ya tiba, mfano wale dhehebu la Jehovah Witness huwa hawaruhusu kuongezewa damu.
Hizi ni standards ambazo zinatumika duniani kote, kwa hiyo hamna tatizo lolote sema Watanzania siku hizi tunajistukia kwa kila kitu, hata vitu vidogo kama hivi ambavyo tangu enzi na enzi vinafanyika hivyo lkn leo hii tunavishangaa sijui kwanini.
Kabila la baba yako na lako ndilo kabila la watoto wako..ingawa ni upuuzi kuulizana makabila.Watoto wangu ukiwauliza kabila utawaonea bure. Mimi wazazi wangu ni mchanganyiko wa makabila mawili madogo moja la huko Serengeti (baba) na mama kabila dogo lililoko mwambao wa Ziwa Nyasa. Mke wangu pia mchanganyiko wa mngoni na mzigua. Watoto wangu kabia gani? Hii kuulizana kabila ni ushamba tu wa kuendekeza ubaguzi. Kabila linasaidia nini katika tiba? Kabila linahusikaje kwenye uhalifu?
Ubaguzi tu.
Hata hapa kwetu ni optional, kama hutaki kutoa data fulani haulazimishwi.Hii kwenye mataifa mengi ni optional. Kabila halina maana kwetu
Wewe na watoto wako ni kabila dogo la baba yako kutoka huko Serengeti, mengine hayo ni mapambo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
UtamaduniHiyo ni kwa mujibu wa nani?
Ndiyo. Wao huko wanakuuliza utaifa wako kwa kuwa hawana makabilaKwahiyo hata ukienda kufungua kesi Manchester, Loss Angeles, Milan and the like lazma uulizwe kabila?
Ndio, mi New york waliniuliza nikawaambia MsukumaKwahiyo hata ukienda kufungua kesi Manchester, Loss Angeles, Milan and the like lazma uulizwe kabila?
Hakuna mtu anajua, ni Muzungu aliacha hivyo kama yalivyo mambo mengi kama pf 3, Uchifu kama akina Mbowe, marufuku kuita mtoto wako jina la Kibantu ni lazima aitwe John, Julius, Richard au sijui George n.k. lkn nafikiri lengo lilikuwa ni kukusanya takwimu ili kurahisisha kuwaganya na kuwatawala watu!
Tembeeni kidogo duniani muone mambo yanafanyika vipi, ukishindwa kabisa soma vitabu, and google can be your friend too.
Ni wapi Dunia hii wanatumia ,,Kabila” ukiondoa Afrika na watu wa misutuni huko Amazon?
Yap , hata utamaduni wa kabila Kama vile kula vyakula fulani au kutokula Aina fulani za vyakulaHospitali kuulizwa kabila ni muhimu kuna baadhi ya magonjwa ni genetic. Kuna magonjwa yanatokana na geographic area.
Sent using Jamii Forums mobile app