Kuna umuhimu gani wa kuomba kurudi sehemu waliyokusimamisha kazi?

kiipato

New Member
May 24, 2019
2
1
Habari wana jf, ninauliza kama kichwa kilivyoeleza hapoi juu je, kuna umuhimu wa kuomba kurudi kazini sehemu uliyosimamishwa kazi? na je, nini athari zake kwa ujumla?
 
Unaweza kuomba ndio,,kama unaona inawezekana kusamehewa,, athari inategemea na wewe unavochukulia,
 
Maelezo hayajitoshelezi. Ila kama umesimamishwa kazi (sio kufukuzwa jumla) kwa sababu yoyote ile, utarudi kazini baada ya wao kukuita, unless uamue kuresign tu. Kuomba kurudi wakati hujaitwa (labda bado unachunguzwa) ni uzwazwa na hutojibiwa.
 
Inategemea uliondoka au kuondolewa kwa style gani...

Kama uliondoka kwa sababu za kimasomo, ugonjwa, kuomba kurudishwa hakuna neno...

Ila kama uliondoka kwa kejeli na dharau, then ukapigia huko kitaa, usiombe kurudishwa ulipotoka na ukikubaliwa utajuta...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom