Kuna umuhimu gani wa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria na asipojiunga nini kitatokea?

omega_

Member
Dec 3, 2018
29
9
Habari za muda huu wakuu,

Samahani kuna selection hizi za jeshi za wanafunzi waliomaliza form six zimetoka na nimechaguliwa kujiunga na jeshi ila nimebakia njia panda.

Nilikuwa nauliza kwani kuna umuhimu gani wa kujiunga na jeshi? Au kuna faida gani ya kujiunga na jeshi JKT na je nisipojiunga nao ni matatizo yapi nitapata ama vitu gani nitakosa au qualification za sehemu gani hua zinahitaji cheti cha jeshi?

Maana mpka sasa bado nipo njia panda niende ama nisiende naombeni wenye uzoefu mnisaidie kwa hili maana wengine wananiambia itanisumbua kwnye mkopo wengne kuomba kazi itasumbua naomben mnisaidie kwa wenye uzoefu juu ya hilo swala nisije kuja kujutia baadae either kwa kukosa vitu au kwa kupoteza muda?
 
Ilishapitisha bila cheti cha jkt form six ukienda kuomba kazi baada ya kumaliza kama huna no kazi
 
Habari za muda huu wakuu samahani kuna selection hizi za jeshi za wanafunz waliomaliza form six zimetoka na nimechaguliwa kujiunga na jeshi ila nimebakia njia panda

Nilikuwa nauliza kwan kuna umuhim gan wa kujiunga na jeshi?? Au kuna faida gan ya kujiunga na jeshi jkt na je nisipo jiunga nao ni matatizo yapi nitapata ama vitu gani nitakosa au qualification za sehem gani hua zinahitaji cheti cha jeshi? Maana mpka sasa bado nipo njia panda niende ama nisiende naomben wenye uzoef mnisaidie kwa hili maana wengine wananiambia itanisumbua kwnye mkopo wengne kuomba kazi itasumbua naomben mnisaidie kwa wenye uzoef juu ya hilo swala nisije kuja kujutia baadae either kwa kukosa vitu au kwa kupoteza muda??
Nilipangiwa makutupora jkt nkauchuna af kichepe tu life linasonga, npo full charge mgongon nna transformer
 
Habari za muda huu wakuu samahani kuna selection hizi za jeshi za wanafunz waliomaliza form six zimetoka na nimechaguliwa kujiunga na jeshi ila nimebakia njia panda

Nilikuwa nauliza kwan kuna umuhim gan wa kujiunga na jeshi?? Au kuna faida gan ya kujiunga na jeshi jkt na je nisipo jiunga nao ni matatizo yapi nitapata ama vitu gani nitakosa au qualification za sehem gani hua zinahitaji cheti cha jeshi? Maana mpka sasa bado nipo njia panda niende ama nisiende naomben wenye uzoef mnisaidie kwa hili maana wengine wananiambia itanisumbua kwnye mkopo wengne kuomba kazi itasumbua naomben mnisaidie kwa wenye uzoef juu ya hilo swala nisije kuja kujutia baadae either kwa kukosa vitu au kwa kupoteza muda??
Ushauri: Nenda JKT hasa kama huna sababu ya msingi ya kutokwenda ulipopangiwa.

Binafsi naamini katika kujifunza na kupata uzoefu. Kuliko kukaa tu mtaani bila kazi, ni bora uende JKT ukajifunze mambo mbalimbali....ukakamavu, nidhamu, mahusiano/ushirikiano na watu, networking, kazi za mikono, nk nk.

Kujibu swali lako: Hakuna athari za moja kwa moja kwa sasa za kutokwenda. Ila risk ipo. Baadae unaweza kukosa fursa fulani fulani ambazo zinaweza kuwa attached na mafunzo ya JKT au kukaidi kwako kwenda JKT. Huwezi kujua kwa sasa.

Faida za kwenda JKT (kama umeitwa) ni nyingi zaidi kuliko hasara zake (kwa maoni yangu).
 
Kujiunga na Jeshi si Vibaya Maana Kule Unajifunza UZALENDO,Ukakamavu,Kumbuka ni JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) Means Yapo Mengi Utajifunza Unapokuwa Kule.
Pia Utajifunza Baadhi ya Mbinu za Kijeshi,Gwaride,Uzalishaji Mali,Kujitegemea,Ushirikiano,Pia Utaijua Silaha na Kuitumia Na Mengine Mengi.
Binafsi Nilipangiwa Mwaka 2014 Mtabila KJ.
Nilijifunza Mengi Mno,Pia Waweza Pata Chance Ukiwa Kule Ukajikuta Umeingia Kwenye System.

Ni Maamuzi Yako Kuongeza CV au Kuacha.
Ningekushauri Ujiunge.
 
Ushauri: Nenda JKT hasa kama huna sababu ya msingi ya kutokwenda ulipopangiwa.

Binafsi naamini katika kujifunza na kupata uzoefu. Kuliko kukaa tu mtaani bila kazi, ni bora uende JKT ukajifunze mambo mbalimbali....ukakamavu, nidhamu, mahusiano/ushirikiano na watu, networking, kazi za mikono, nk nk.

Kujibu swali lako: Hakuna athari za moja kwa moja kwa sasa za kutokwenda. Ila risk ipo. Baadae unaweza kukosa fursa fulani fulani ambazo zinaweza kuwa attached na mafunzo ya JKT au kukaidi kwako kwenda JKT. Huwezi kujua kwa sasa.

Faida za kwenda JKT (kama umeitwa) ni nyingi zaidi kuliko hasara zake (kwa maoni yangu).
Asante kak
 
Kujiunga na Jeshi si Vibaya Maana Kule Unajifunza UZALENDO,Ukakamavu,Kumbuka ni JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) Means Yapo Mengi Utajifunza Unapokuwa Kule.
Pia Utajifunza Baadhi ya Mbinu za Kijeshi,Gwaride,Uzalishaji Mali,Kujitegemea,Ushirikiano,Pia Utaijua Silaha na Kuitumia Na Mengine Mengi.
Binafsi Nilipangiwa Mwaka 2014 Mtabila KJ.
Nilijifunza Mengi Mno,Pia Waweza Pata Chance Ukiwa Kule Ukajikuta Umeingia Kwenye System.

Ni Maamuzi Yako Kuongeza CV au Kuacha.
Ningekushauri Ujiunge.
Asante kak
 
Back
Top Bottom