Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Karibu watanzania wenzangu tujadili swala la waganga wa jadi kuwepo kwao Na madhara ya kutokuwepo kwao.
Lengo kuu la Uzi huu ni kusoma nyakati kwa nini Tanzania kama ikafuta Na kupiga marufuku shughuli zote za kiganga nchi nzima!
Kuna madhara mengi zaidi yanayofanywa Na uwepo wa waganga wa jadi, ikiwa pamoja Na kusababisha mauwaji mbalimbali mara ya watoto, mara ya wanawake, mara wanaume wenye vipara, mara wanawake wenye ndefu, mara albino nk
Mimi napendekeza nchi yetu ipige stop shughuli zote za waganga wa jadi tukabaki shughuli za kidini tu kwa maana ya tiba za kiroho tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo kuu la Uzi huu ni kusoma nyakati kwa nini Tanzania kama ikafuta Na kupiga marufuku shughuli zote za kiganga nchi nzima!
Kuna madhara mengi zaidi yanayofanywa Na uwepo wa waganga wa jadi, ikiwa pamoja Na kusababisha mauwaji mbalimbali mara ya watoto, mara ya wanawake, mara wanaume wenye vipara, mara wanawake wenye ndefu, mara albino nk
Mimi napendekeza nchi yetu ipige stop shughuli zote za waganga wa jadi tukabaki shughuli za kidini tu kwa maana ya tiba za kiroho tu.
Sent using Jamii Forums mobile app