Vijana wanalenga teuziKuna umuhimu gani au lengo kuu la kuwa na uwongozi wa serikali ya wanafunzi vyuoni inayoundwa na viongozi walioko chini ya mwamvuli wa chama cha kisiasi ni lipi /gani ?
Naamini katika misingi ya kawaida unapoenda kumteuwa mtuu inahitaji uwe unamjua na ili kumjua mtu lazima uwekaribu nae ili uweze kumchunguza, huoni itakuwa ni ngumu kulamba teuzi maana kuna baadhi ya vijana hujiunga na chama kwaajili yakufanikisha lengo la kuwa na uwongozi chuoniVijana wanalenga teuzi
mlifanikiwa kuzifungiaUmenikumbusha kipindi ambacho tulikuwa tunazifungia cafeteria kwa sababu tu zimepandisha bei ya chai kutoka mia moja hadi mia mbili ....lazima meneja atoe sababu kama ni sukari imepanda bei au la !!!!
Hapo unalinda waliokupigia kura