Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Bujibuji;1446954[COLOR="red" said:]Hebu ambao hawajaoa wajaribishe kutoshiriki mapenzi kabla ya ndoa[/COLOR],
wale walio anza kuonjana wao tuwaache tu waendelee kuridhishana
Wape basi kitu mbadala cha kufanya wakati wa uchumba...may be wavute bangi kwa sana, au wabwie unga ili kupunguza mihemko?
Nadhani tuache theories kwenye mambo ya msingi..Kama wana sababu za msingi za kusubiri kabla ya ndoa na hawana kizuizi kingine kama kubanwa na imani zao, kwa nini wasijiachie? Ila kama ni binti yangu ahakikishe haleti mchumba wake au huyo BF nyumbani kwangu!