rbsharia
Member
- Sep 14, 2011
- 41
- 6
Hapa nchini kwetu kuna utaratibu unaotumika ambao ni usumbufu kwa wadau wa elimu hasa wanaoenda kusoma nchi za nje.
Mtanzania anapomaliza elimu katika nchi fulani kisha akarudi Bongo land kuna booooonge la usumbufu. Check hapo chini....
1. Aende TCU akathibitishwe.
2. Aende Wizara ya Elimu akapewe namba ya utambulisho.
3. Aende Wizara ya kazi akaandikishwe
4. Aende utumishi akasubmit copy ya vyeti vyake
Kisha itamlazimu aanze kuzunguuka huku na huko atafute kazi mwenyewe.
Kama sehemu zote hizo za serikali alizopita kuthibitishwa pamoja kukusanya nakala za vyeti vyake hazina msaada, Je kuna ulazima gani wa mlolongo wote huo kufuatwa?
Mtanzania anapomaliza elimu katika nchi fulani kisha akarudi Bongo land kuna booooonge la usumbufu. Check hapo chini....
1. Aende TCU akathibitishwe.
2. Aende Wizara ya Elimu akapewe namba ya utambulisho.
3. Aende Wizara ya kazi akaandikishwe
4. Aende utumishi akasubmit copy ya vyeti vyake
Kisha itamlazimu aanze kuzunguuka huku na huko atafute kazi mwenyewe.
Kama sehemu zote hizo za serikali alizopita kuthibitishwa pamoja kukusanya nakala za vyeti vyake hazina msaada, Je kuna ulazima gani wa mlolongo wote huo kufuatwa?