Kuna ukweli wowote wa NMB kuhitaji nyaraka za ziada kwa miamala zaidi ya milioni 5???

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Nataka nijiunge hii benki ila kuna tetesi nasikia kwamba ikiwa account yako itaingiza muamala zaidi ya milioni 5 basi utatakiwa uende kwenye ofisi zao na documents za kuutetea huo muamala,

Nafanya biashara halali zenye nyaraka halali ila endapo hizi tetesi ni za kweli sitafirahia kwasababu ratiba zangu zimebana sana kupata muda kwenda kwenye ofisi zao

Je pana ukweli????
 
Mabenki mengi kama sio yote hutumka kanuni sawa kulingana na miongozo ya BOT. Sidhani kama hio ni kweli kwa sababu benki nayotumia hata zikiingia 500M hawakuulizi. Labda wakati wa kuzitoa na taarifa za source ya mapato na anuani yako ya kudumu.
 
Nataka nijiunge hii benki ila kuna tetesi nasikia kwamba ikiwa account yako itaingiza muamala zaidi ya milioni 5 basi utatakiwa uende kwenye ofisi zao na documents za kuutetea huo muamala,

Nafanya biashara halali zenye nyaraka halali ila endapo hizi tetesi ni za kweli sitafirahia kwasababu ratiba zangu zimebana sana kupata muda kwenda kwenye ofisi zao

Je pana ukweli????
Ninachojua ukifungua ac ya chapchap muamala unapozidi 5m inadibi upeleke nyaraka za utambulisho wa kijiji
 
Kinachoangaliwa ni trend ya Account yako

Mzee Bakhresa au Rostam akitoa 5M sio issue wala hawezi kuhojiwa lakin Mwenzangu na Mie Account yako imekuwa kama mfereji wa Mshahara baada ya Mshahara kusoma kwenye Account yako haujawahi kuvuka saa 48 kabla Hujaukwangua na Mara zote Account yako Ina ingizo la Mshahara to hapo lazima wakuhoji
 
Kinachoangaliwa ni trend ya Account yako

Mzee Bakhresa au Rostam akitoa 5M sio issue wala hawezi kuhojiwa lakin Mwenzangu na Mie Account yako imekuwa kama mfereji wa Mshahara baada ya Mshahara kusoma kwenye Account yako haujawahi kuvuka saa 48 kabla Hujaukwangua na Mara zote Account yako Ina ingizo la Mshahara to hapo lazima wakuhoji

Hahahaha!!
Yani kama sio mshahara basi hata acc usingekuwa nayo!!
 
Nataka nijiunge hii benki ila kuna tetesi nasikia kwamba ikiwa account yako itaingiza muamala zaidi ya milioni 5 basi utatakiwa uende kwenye ofisi zao na documents za kuutetea huo muamala,

Nafanya biashara halali zenye nyaraka halali ila endapo hizi tetesi ni za kweli sitafirahia kwasababu ratiba zangu zimebana sana kupata muda kwenda kwenye ofisi zao

Je pana ukweli????
sio kweli. ukweli ni kwamba, kuna njia mbili za kufungua account, njia ya Kwanza ile account ya chap chap, yani unafungulia nje kwa Wakala, na kitu pekee kinachohitajika pale ni kitambuliso tu, sasa account hii ni Kama temporary hivyo hairuhusiwi kufanya muamala zaidi ya Tsh million 5. Kama unataka izidi hapo ndo unatakiwa uka update account yako, kwa kuingia ndani na docmennt. account ya pili ni ile ya kuingia ndani moja kwa moja, na docmennt zako zinazohitajika, hivyo account hii haina masharti ya ku update hata Kama unataka kufanya miamala zaidi ya million 5.
 
Nataka nijiunge hii benki ila kuna tetesi nasikia kwamba ikiwa account yako itaingiza muamala zaidi ya milioni 5 basi utatakiwa uende kwenye ofisi zao na documents za kuutetea huo muamala,

Nafanya biashara halali zenye nyaraka halali ila endapo hizi tetesi ni za kweli sitafirahia kwasababu ratiba zangu zimebana sana kupata muda kwenda kwenye ofisi zao

Je pana ukweli????
Ulichokisikia kipo lakini hakiko sahihi. Kuna issue ambayo nafikiri ni utaratibu kwa mteja akitaka kuchukua fedha kiasi kwanzia 4 M kunakuwa na utaratibu wa teller kukuelekeza ukamsainishe incharge wake ile slip then unarudi chukua mzigo na mengine yanaendelea hamna maswali wala nini.
Labda NMB wasione aibu kuiga mambo mazuri wenzao CRDB ukiwa na amount ambayo incharge wao anatakiwa kuthibitisha wanawasiliana kwa simu kwamba kuna referal hapa basi kuna nanma anatoa go ahead na mambo yanaendelea . Kwahiyo waboreshe badala ya kumfanya mteja kupoteza mda watusaidie kutuokolea muda wetu NMB Tanzania
 
Back
Top Bottom