Kuna ukweli wowote kwenye hili?

Escabar jini

Member
Nov 26, 2021
7
4
Habari wana forum nimekuja na hili swala kama nilivolikuta sehemu watu walikua wanabishana uwezo wa engine za toyota 1hz na 1Nz mada ilikua ni kwamba gari zenye hizo engine zikikaa rami zikianza safari pamoja basi mwenye 1nz atamuacha 1Hz na gari zenye hizo engine ni

landcruiser j70 ina1HZ

Corolla spacio ina 1NZ

Inawezekanaje cruiser kukalishwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom