Nimekuwa nikisikia watu wanasema kuwa ukiipakata laptop wakati wa kuitumia inaleta upungufu wa nguvu za kiume je hii ina ukweli wowote??
Nimekuwa nikisikia watu wanasema kuwa ukiipakata laptop wakati wa kuitumia inaleta upungufu wa nguvu za kiume je hii ina ukweli wowote??
Kuna tofauti kati ya nguvu za kiume na sperm count, si ndio? Unaweza ukawa na erection kama kawaida, lakini sperms zako ziwe chache sana.
Explanation ni hii, ukipakata laptop lile joto linakuwa kwenye mapaja yako pamoja na testicles zako. Joto la mwili wa binadamu ni 36/37 degrees ambayo ni kubwa mno kwa ajili ya sperms, ndio maana testicles ziko nje ya mwili wa mwanamme na si ndani (kama ovaries za mwanamke). Temperature ya juu huua sperms. Ukipakata laptop yenye joto (hata kama ina feni), ukienda kwenye sauna au hata kukaa kwenye hot tub kwa muda mrefu kunakuwa kuna risk ya kupunguza sperm count, lakini nguvu za kiume zitakuwepo.
ahsantee honey bee kwa maelezo. mazuri ila hiyo sperm count inapungua mazimaa au ukitulia kwa muda fulani unarudi normal?????