baada ya kuona bandiko hii nimenote yafuatayo;View attachment 405035
Jee ni kweli kuwa hao wote wanane ni madikteta hapa Afrika? Kwa nini wetu kajikuta kaingizwa kwenye orodha ya hiyo mapema hivi wakati wengi waliotajwa ni wale wa muda mrefu?
View attachment 405035
Jee ni kweli kuwa hao wote wanane ni madikteta hapa Afrika? Kwa nini wetu kajikuta kaingizwa kwenye orodha ya hiyo mapema hivi wakati wengi waliotajwa ni wale wa muda mrefu?
Kumbe wewe ni mkristo? Nimeona leo umekiri kuwa yesu ni Bwana.Kama Rais Kagame hayupo kwenye kundi la marais dikteta basi nchi za Afrika hazina Rais Dikteta!
Mlengwa wa hizo katuni ni Rais Magufuli!
Hizo katuni za Marais wengine ni kujazia hoja tu!
Huyu Gado hawezi kumzodoa Rais Kagema kwa sababu anafahamu vizuri kuwa Rais Kagame huwatafuta na kuwafuata popote waliko wale wanaomzodoa ili awape RIP ya milele.
Gado anacheza ngoma anayoweza kuicheza na anafahamu hawezi kujaribu kucheza ngoma ya Rais Kagame huku akiishi Kenya labda kama anataka kupewa haraka RIP ya milele kutoka kwa majasusi ya Rais Kagame.
Kumbe!Kumbe kama angemchora Kagame,angeshtukia kitu cha Moto kimepenya katika kichwa chake!dahKama Rais Kagame hayupo kwenye kundi la marais dikteta basi nchi za Afrika hazina Rais Dikteta!
Mlengwa wa hizo katuni ni Rais Magufuli!
Hizo katuni za Marais wengine ni kujazia hoja tu!
Huyu Gado hawezi kumzodoa Rais Kagema kwa sababu anafahamu vizuri kuwa Rais Kagame huwatafuta na kuwafuata popote waliko wale wanaomzodoa ili awape RIP ya milele.
Gado anacheza ngoma anayoweza kuicheza na anafahamu hawezi kujaribu kucheza ngoma ya Rais Kagame huku akiishi Kenya labda kama anataka kupewa haraka RIP ya milele kutoka kwa majasusi ya Rais Kagame.