Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Kuna Ukweli Na Uwazi, Na Kuna Akili Na Uwazi.
Jamaa kaamua kutumia mbinu ya AKILI NA UWAZI.
Unapoamua kutumia mbinu hii kuongoza mahusiano yako ya mapenzi, hakikisha pia uwe na kipaji cha kufanya mazingaombwe maana daima njia ya muongo ni fupi. Kwa hiyo mwenzi wako akitokea kushtukia janjajanja zako, unampiga na kazingaombwe anajiona kama kile kilichotokea, kilitokea zamani kwenye ndoto ya mchana.