Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,056
- 33,916
wapo wapi?Wapo!
wapo wapi?Wapo!
Usiogope wewe hauko level yao. ...hawa huwa wanatafuta watu ambao kiasili wanamvuto wa PESA THAT'S IT....MVUTO MAANA YAKE PESA INAKUFUATA WEWE. ...BASI HAPO MWISHO. THE ENDMKWEPA KODI Mkuu mimi sitaki kujiunga nao wale jamaa tena naogopa kinoma. NNachotaka ni kujua tu ili nichukue tahadhari
Kwani wewe unadhani freemason ni nini, maana hapa mjini wanayo lodge na wanafanya ceremony, ukitaka kuhudhuria ceremony hawakukatazi. Sasa sikuelewi unamaanisha nini unaposema propaganda. Ninachoelewa mimi hizi story za uongo zinazojazwa kwenye vichwa vya watu (wabongo) kuwahusu 'The Lodge' ndio propaganda. Si members wote wa The Lodge ni matajiri. Mnadanganyana hapa kila siku Freemasons, Freemasons kama mnataka mifano ya watu matajiri au powerful angalia watafute 'The Bilderberg Group'. Acheni kudanganyana.Hizi ndio propaganda zenyewe hizi.
Ni nani wanaodanganyana?Kwani wewe unadhani freemason ni nini, maana hapa mjini wanayo lodge na wanafanya ceremony, ukitaka kuhudhuria ceremony hawakukatazi. Sasa sikuelewi unamaanisha nini unaposema propaganda. Ninachoelewa mimi hizi story za uongo zinazojazwa kwenye vichwa vya watu (wabongo) kuwahusu 'The Lodge' ndio propaganda. Si members wote wa The Lodge ni matajiri. Mnadanganyana hapa kila siku Freemasons, Freemasons kama mnataka mifano ya watu matajiri au powerful angalia watafute 'The Bilderberg Group'. Acheni kudanganyana.
Matapeli wanaojifanya waganga, na pia media yenye lengo la kuuza habari.Ni nani wanaodanganyana?
Ulishawahi kuona nikibishania habari za kusadikika za freemasons?
Nakushangaa unaposema Freemasons dont exist, sasa wale wanaofanya ceremonies kwenye lodge ya pale mjini na ya Kunduchi na nyinginezo wewe ungependa tuwaiteje?Ni nani wanaodanganyana?
Ulishawahi kuona nikibishania habari za kusadikika za freemasons?
Well saidNakushangaa unaposema Freemasons dont exist, sasa wale wanaofanya ceremonies kwenye lodge ya pale mjini na ya Kunduchi na nyinginezo wewe ungependa tuwaiteje?
Well saidHizi nyingine ni story tu kuna watu wala si freemasons. Wanapiga pesa kiukwel kabisa... Maskin kujifariji wanaamua tu kusema hao ni freemasons.
Hakuna free mason maskini,unakwepa hata kodiMimi hapa ni Freemason, haturuhusiwi kutoa siri zetu kwenye mitandao ya kijamii, nitafute kwa wakati wako nitakuelekeza jinsi ya kujiunga
Usiniulize ningependa muwaiteje?Nakushangaa unaposema Freemasons dont exist, sasa wale wanaofanya ceremonies kwenye lodge ya pale mjini na ya Kunduchi na nyinginezo wewe ungependa tuwaiteje?
Unasomaga biblia na kuielewa?Mawazo haya ya freemasons ni product ya elimu dini ya utegemezi tupatayo mashuleni. Katika biblia twasoma watu matajiri kama: Ibrahim na Solomoni, je hao walikuwa ni mosons? Je Mungu aliwakabidhi wao kuhodhi mambo? Tujitahidini kutumia angalau 5% ya bongo zetu kujifunza jinsi ya kufanikiwa.