N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Panda pine 600 tu pale Mufindi katika ekari moja utakayoinunua kwa Laki Tatu tu...panda miti yako kila mche shilingi 100×600=60,000 , Labour charge wapandaji 50,000 JUMLA KUU ya mtaji ni 410,000...Subiria hiyo miti baada ya miaka 10 tu kila mti utauuza shilingi 20,000×600=120,000,000/- Tzs hiyo 120,000,000 ni Mtaji wa kuanza safari ya utajiri, baada ya hapo na wewe mleta mada utakuwa freemason....Concept imetolewa FREE OF CHARGE.