Umenena kweli kabisa na hivi ndivyo navyoamini hata mimi jamaa wameungana kwa ajili ya kupiga hela sisi tunaendelea kupiga domo huku kuwa ni freemason na stori nyiiingi zisizo na kikomo!!Freemason ni kama propaganda tu.
Wee tafuta nawe utapata,huitaji kikundi chochote kile.